Niko tabora kwa sasa ila ni mwenyeji wa mwanza na dagaaa ndo biashara nayoifanya (wakavu) na mpaka mda huu ninao hapa tabora ,naomba kwa mawasiliano tumia hii namba 0742613347 ili nikupatie mzigo ulio bora kwa bei rafiki pia tufanye kazi kwa uadilifu mkubwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajamvi?
Natumai my wazima wa afya na munaendelea na majukumu ya kila suku vizuri!
Twende moja kwa moja kwenye mada!
Jana wakati natoka sehemu moja inaitwa NDALA mji mdogo wa nzega vijijini mkoani tabora nilikutana na mzee mmoja kwenye Noah naye anasafiri kuja nzega mjini na...
Nitajaribu japo kwa sasa kiuchumi hatuko vzr ,chuo nilipewa mkopo kwa asilimia karibu zote! Ila nitajitahidi kufanya kazi yyte nitakayoweza nikipata hela niende tena nikafanye vipimo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.