Mfalme ABDULLAH amekufa miaka miwili iliopita, nani kakuambia alikua na wake 30. Hao wanne nikikuambia uthibitishe huwezi.
Jambo lingine hata Angeoa 50 kinacho katazwa ni kua nao zaidi ya wanne wakati mmoja dini yake ina mruhusu,ndio maana kuna ndoa na Talaka, akitaka kuongeza zaidi ya wanne...
Elewa alie tafuta pesa na kusaini mkataba ni Jk, sio alitia nia tu, mifano yako ni tofauti na huu wa Flyover. Mpaka magu alisaini na Jk akiwa kamsimamia kama bosi wake na vyombo vyote vya habari vili ripoti. Mue na kumbu kumbu na acheni kuhemka na mifano isio lingana. Eti nia ya kufanya.
Hatu...
Hivi mkuu wa Tanroad ana influence gani nje ya nchi?
Wazirii kamili kama hana memo ya Rais angeenda kuomba msaada wowote asinge pewa,
Kumbuka hata meya wa jiji wakati huo Mr Kimbisa aliwahi kuzungumzia kuhusu kukamilika kwa sehem ya msaada ulio ombwa na serekali kuu toka China.
Kumbuka Rais...
Wewe Afande Sele huna lolote, Wewe una taka kwenda Chadema na wala usi tafute sababu you cam go any time, leo una zungumzia maandiko wakati ulisha pingana na dini na uka sema ukifa uchomwe moto, sijui ume pagawa hujui ushikapo?
Kumbe Sefu ni Mkabila, ndio Maana ana kifanya chama ni cha kipemba na Mali yake, Le Proffeseri sio Mapalala wala Hamad Rashid, Mta mjua safari hii, na Mta anzisha kila Thread hapa za kutu nga na Jamaa Hatoki Ng'oo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.