Recent content by kenge mwekundu

  1. K

    Nimsaidiaje huyu mwenzangu?

    unakimbilia uzuri unajua ni kipusa kumbe ngiri poole
  2. K

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Kama ni hivyo sasa ni kazi ya arv mwilini
  3. K

    Wenye nyumba na kutolipa bili za umeme na maji

    ni kweli lakini naona haina haja ya kuanza kulumbana na mwenye nacho nyumba ziko nyingi bora kujiepusha na migogoro isiyo ya lazima
  4. K

    Kinachokuumiza ni mawazo yako mwenyewe

    nisaidie nifanyaje kuondokana na hali hiyo maana naona kama mungu kakutuma kwangu nipe namna ya kujinasua na hii hali
  5. K

    MWANZA: Mtu Mwingine auawa kwa kukatwa mapanga usiku Sengerema

    ukiwangali wapole saana watu wa mwanza unajiuliza haya mauaji wanayafanyaje mbona wana nyuso za kondoo saana wanaonekana wakarimu, au kuna wageni toka nchi jirani huja kufanya hili tukio?
  6. K

    MWANZA: Mtu Mwingine auawa kwa kukatwa mapanga usiku Sengerema

    visasi ni hatari saana usikute huko mtu akiumwa kansa na ukimwi watasemwa karogwa
  7. K

    Wenye nyumba na kutolipa bili za umeme na maji

    jamani kuna tabia imejitokeza sasa wenye nyumba wengi hawalipi bill za umeme yaani anachangisha hela kama chumba uwepo usiwepo utalazimika kulipia kwa mwezi, yaani unalipa kama mkataba wa nyumba. Pili ukiangalia mzunguko wa mwezi unakuta mpaka wote muishe yeye huwa hatoi hela maana tarehe moja...
  8. K

    MOROGORO: Polisi inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za ubakaji na udhalilishaji wa mwanamke

    so sad kwa huyo hao watu washamba saana bado wanamawazo ya mitungo mpka sasa,
  9. K

    Chumvini kumesababisha maafa, msaada tafadhali

    duuu huu uzungu mpk tuoze midomo
  10. K

    Amjaza mimba mtoto wa dada yake

    jamaa nyoka wake nahisi akisimama hutoboa mpk suruari sio kwa nyege hizo
  11. K

    Mahakama zetu ni zaidi ya duka

    sasa unalalamika shilingi elfu mbili wakati wamekufanyia kinyume cha sheria na wanatakiwa wajibu kwa nini wamepoteza kodi kutoka kwa wananchi mhuri ni 20 wamekufanyia utu wee unawashtumu
  12. K

    Kwanini Kinondoni tu?

    wengine wanataka waonyeshe kwa vitendo sio kujitangaza kwenye media uzi wako unaoneka hauna mvuto kwa wengine
  13. K

    Ungekuwa wewe ungefanya nini kwa mwanamke huyu?

    pia wanaume tuwe makini na hizo bikira siku hizi nyingi za kununuliwa kigoma zinauzwa elfu mbili tuu na unatoa damu ni bora umkute tuu hana utakuwa na akili ya kwenda kupima pia huyo dada ni muuaji mbona kule wanakochukulia dawa wanakuwepo wanaume wengi tuu wanaoana lkn sio kuja kutaka kumponza...
Back
Top Bottom