Itv alituintroduce kwa wakorea sio mbaya na Azam achague kwake. Alafu tulishaangalishwa sana mapunga kwa wafilipino acha tuangalie mandevu na majambia sasa.
2 na 3 ni kama mimi. Kwanza kuhusu simu, sijua hata issues za simu gani ina nini, sijui imefanya nini. Ninachojua kuhusu simu ni hii my f*ckng Techno F1, ambayo nimeiongezea thamani kwa application ya Microsoft Office so vurugu zote nazifanyia humo.
Hapo kwenye kunyoa toka nipo dogo father...
O level kwenye civics tunasoma union and non union matters. Inaonesha tukishafanya Necta tunashau vyote.
Watanganyika wenzangu, hata pale US different states different rules.
Generally napenda jinsi majina ya kibantu yanavyosound, yani ile kibabe flani hivi:-
Mukoko Tonombe
Bobosi Byaluhanga
Makabi Lilepo
Dango Ouattara
Aliou Dieng
Halafu kuna watoto pale Arsenal academy majina yao yanasound poa :-
Myles Lewis- Skelly
Brooke Norton-Cuffy
Amario Cozier- Duberry
Reuell...
Kama unarefer ile movie ya Htrik Roshan.Yule wa kwenye movie ni mtu aliyeadapt jina la Krishna sio huyo Krishna Mungu wao. Yaani km itoke movie halafu starring Jesus Moloko.
Yesu alipozaliwa Nyota iling'aa angani. Mtemi Mirambo alipozaliwa nyota ilishuka kisimani. Hapo vipi, ifike sehemu na sisi wabantu tujipakulie minyama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.