Recent content by kenge 10

  1. kenge 10

    Azam tv sio burudani kwa wote ni burudani kwa waturuki. Mnaboa sasa

    Itv alituintroduce kwa wakorea sio mbaya na Azam achague kwake. Alafu tulishaangalishwa sana mapunga kwa wafilipino acha tuangalie mandevu na majambia sasa.
  2. kenge 10

    Vitu ambavyo vinawasumbua na kuwagharimu wengi ambavyo huwa naviona havina nafasi kwangu

    2 na 3 ni kama mimi. Kwanza kuhusu simu, sijua hata issues za simu gani ina nini, sijui imefanya nini. Ninachojua kuhusu simu ni hii my f*ckng Techno F1, ambayo nimeiongezea thamani kwa application ya Microsoft Office so vurugu zote nazifanyia humo. Hapo kwenye kunyoa toka nipo dogo father...
  3. kenge 10

    Wazungu wapewe maua yao na si lawama, Utumwa ulikuwepo Dunia nzima, Wao ndio walikuwa wa kwanza kuanzisha harakati za kuufuta

    Maslahi ya watumwa yalimalizwa na maendeleo ya science na teknolojia. Weupe wote wanaishi na sisi kimaslahi tu. Sasa wewe jione unapendwa.
  4. kenge 10

    Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

    Wananchi walikua wanasema role model wao ni Mamelodi. Je, bado ni role model wenu?
  5. kenge 10

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    Hua nawaza World Cup pale Mexico 2026
  6. kenge 10

    TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

    O level kwenye civics tunasoma union and non union matters. Inaonesha tukishafanya Necta tunashau vyote. Watanganyika wenzangu, hata pale US different states different rules.
  7. kenge 10

    Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

    Generally napenda jinsi majina ya kibantu yanavyosound, yani ile kibabe flani hivi:- Mukoko Tonombe Bobosi Byaluhanga Makabi Lilepo Dango Ouattara Aliou Dieng Halafu kuna watoto pale Arsenal academy majina yao yanasound poa :- Myles Lewis- Skelly Brooke Norton-Cuffy Amario Cozier- Duberry Reuell...
  8. kenge 10

    Uhusiano wa Kristo na Krishna

    Kama unarefer ile movie ya Htrik Roshan.Yule wa kwenye movie ni mtu aliyeadapt jina la Krishna sio huyo Krishna Mungu wao. Yaani km itoke movie halafu starring Jesus Moloko.
  9. kenge 10

    Uhusiano wa Kristo na Krishna

    Yesu alipozaliwa Nyota iling'aa angani. Mtemi Mirambo alipozaliwa nyota ilishuka kisimani. Hapo vipi, ifike sehemu na sisi wabantu tujipakulie minyama.
  10. kenge 10

    Michael Jackson before he chose to bleach and change his nose in order to look like a poor white woman

    Looks like Koredo Belo. Kuhusu rangi alijitetea kwamba alipata ugonjwa wa vitiligo
  11. kenge 10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    In the tunnel again
  12. kenge 10

    Kama wanawake wanapenda wanaume wenye hela, kwanini wenye nazo ndo wanaongoza kuchapiwa?

    Tena masikini unagongewa na kikundi cha watu sio mtu mmoja. Muuza genge,mtengeneza kucha,loan officer kausha damu, etc, etc.
  13. kenge 10

    Kataa ndoa vs kubali ndoa (online poll)

    Kataa ndoa twende Pattaya na viwanja vingine vya dhambi.
  14. kenge 10

    Fact: Prince Dully Sykes ndio muanzilishi wa muziki wa bongofleva

    Mtoa mada anamaanisha katka kipindi ambacho vijana wengi wanachana. Dully alikua wa kwanza kuimba imba.
Back
Top Bottom