Suluhisho linakuja.
App inayotoa mikeka kwa kutegemea AI, wanahitajika Watu 15 tu wa kuitest(Hakuna Malipo)
Kama uko Tayari fwata hatua hizi
1.Join Google Group au tuma Email yako DM
https://groups.google.com/g/testers-community-hub
2. Fungua Link na itakuelekeza Playstore, Download App...
Habari Wajamii,
Mod ukifuta uzi litakukuta jambo...
Leo nataka tuzungumze kuhusu kitu kipya ambacho kimezinduliwa hapa Tanzania — Pendeza Booking App — app inayolenga kubadilisha jinsi tunavyohifadhi na kupata huduma za uzuri (salons, barbershops, spas, na zaidi).
📱 App hii ni nini hasa...
Jibu ni NDIO
ADS(Matangazo) Ndio njia ya kwanza kabisa ya hii Mitandao ya kijamiii yaani hao Meta(,IG, FB,Thread) , X ya Elon Musk, JF ya Max, Na Google chanzo chao kikubwa cha mapato ni MATANGAZO kuna kitu kinaitwa Algorithm wafanyabiashars au watumiaji mbalimbali wanaweza kulipia Post au...
Hakuna kitu kama hicho Mkuu mi aidha uweke ads au subscription, Ni aidha User waamgalie ads zilizowekwa kwenye web/App au walipie ada ila hakuna atakae kulipa kwa user tu kuingia NEVER
kuna vibali?
Hakuna Vibali unless App yako ni ya Finance yani kama Bank au Mpesa utahitaji kujisajili
Naanzia wapi?
Unaanza na research, ingia playstore angalia App zinazoendana na idea yako , fanya tafiti mbalimbali upate kujua idea yako kama ni nzuri au Laa
kuna Gharama?
Ndio kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.