Jibu ni NDIO
ADS(Matangazo) Ndio njia ya kwanza kabisa ya hii Mitandao ya kijamiii yaani hao Meta(,IG, FB,Thread) , X ya Elon Musk, JF ya Max, Na Google chanzo chao kikubwa cha mapato ni MATANGAZO kuna kitu kinaitwa Algorithm wafanyabiashars au watumiaji mbalimbali wanaweza kulipia Post au...