Recent content by Kenedy

  1. K

    Lameck Airo Vs. John Mashaka..Rorya 2015

    Vipi mchanganuo wa maendeleo mpaka sasa? Kule bungeni kukoje? mie sijui?
  2. K

    Nimetuma pesa nje ya nchi mwezi na nusu kupitia benki moja nchini mpaka sasa haijafika: Sheria ikoje

    Wana jamii: Nimetuma pesa nje ya nchi kwa mwezi mzima mpaka sasa haijafika kila nikienda naambiwa tatizo lilikuwa address, mara ya pili baada ya wiki mbili nikaambiwa tatizo ni account no. Juzi nikaambiwa sasa kesho itafika. Leo biashara yetu imefeli kwa sababu pesa haikufika kwa sababu...
  3. K

    IBM (Tanzania) kupunguza msongamano wa magari katika Barabara za DSM!

    Tukiweza kufanya maamuzi baada ya utafiti tutafanikiwa. Kwa kukurupuka hatusongi mbele. Nitoke vipi! haha Shirikisha wadai mheshimiwa.
  4. K

    Haki ya mtumishi kujiendeleza kimasomo

    Kwa uelewa wangu (si mkubwa sana), kila shirika, taasisi, n.k., ya umma ina staff development policy ambayo inaongoza utaratibu husika. Kwa upande wa waraka wa kisheria naomba wanasheria watuambie ...
  5. K

    Makamanda wa nhif wanaomba hongo!

    Ndugu wana jamii, Leo nimeenda Regency kisha kumpeleka mtoto na mama. Kwakweli kunajaa kiasi kwamba hata madaktari wamejiwekea idadi ya watu wanaowahudumia. Tuliwahi kisha mimi nikapeleka kadi ya mtoto na mama ili kuwahi namba kama iivyokuwa siku zile za kuhesabu namba shule za msingi. Nikatoa...
  6. K

    GE2010 Atangaza kumvaa baba yake kwenye ubunge

    Ki msingi Lameck ni kijana mwenye mitazamo ya maendeleo. naamini kuwa anaweza kufanya mengi akipewa nafasi. Pia naamini kuwa hata akikosa ubunge bado anaweza kuendelea na moyo wake wa maendeleo katika jamii ya Rorya hasa katika nafasi ya udiwani wake. Ila nawakumbusha kuwa Kijiji cha Mika bado...
Back
Top Bottom