Recent content by Kenan john

  1. Kenan john

    MTV: Mwisho wa enzi

    Sasa mbona DSTV inaendelea kuondoa contents muhimu
  2. Kenan john

    Nafurahi Watanzania wameanza kuamka JF na mitandao mengine katika kuwakataa wanaharakati na kuhubiri Amani

    Kuna wakati ukikaa kwa kutafakari kwa umakini utagundua kuna wanaharakati walitaka kutupeleka siko..hawahubiri Maandamano ya amani bali wao wanataka watu watoke waandamane(Fujo,kuharibu miundombinu na Ghasia)
  3. Kenan john

    Naomba mnisaidie jinsi ya kupata mtaji, nimekwama sana

    Nimetaka kuandika sana ile nashindwa..in short ushauri wangu ni huu kama kweli unataka huo mtaji fajya kuutafuta kwa njia yoyote hata kama una ardhi uza tu,hata kama ni ardhi ya urithi najua huwezi kukosa
  4. Kenan john

    Ndoto yangu ni kumiliki biashara ya simu baada ya kuuza mpunga wangu

    Hapo unaweza kumpoteza kwa sasa simu hasa vitochi na accessories zinaagizwa kila leo na Ma Giant ktk Soko...Bora aanze kwa kujumua Kariakoo au mkoa aliopo kulingana na Trend iliyopo kuliko kukurupuka kuagiza kwanza kisha akipata uzoefu ndio aanze kuagiza...
  5. Kenan john

    Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

    Hii sio tunapangwa kweli😀
  6. Kenan john

    Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 1.5M

    We jamaa umeongea kitu kikubwa sana👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
  7. Kenan john

    Huwezi kuwa tajiri overnight, acha kabisa hizo ndoto

    Hujakosea mkuu..Trust the process
  8. Kenan john

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Hii kampuni nahisi ni ya MASUSU TRANSPORT
  9. Kenan john

    Hivi wale wauza Bagia mbeya wapo mikoa mingine?

    Sea ule ubunifu wa vile vitololi[emoji119][emoji91][emoji91]..First time naona nikajua ni mtu mmoja kumbe wapo wengi
  10. Kenan john

    Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

    Nikitaka kushangaa TVS ishindane na pikipiki za kichina?aisee
Back
Top Bottom