Kuna wakati ukikaa kwa kutafakari kwa umakini utagundua kuna wanaharakati walitaka kutupeleka siko..hawahubiri Maandamano ya amani bali wao wanataka watu watoke waandamane(Fujo,kuharibu miundombinu na Ghasia)
Nimetaka kuandika sana ile nashindwa..in short ushauri wangu ni huu kama kweli unataka huo mtaji fajya kuutafuta kwa njia yoyote hata kama una ardhi uza tu,hata kama ni ardhi ya urithi najua huwezi kukosa
Hapo unaweza kumpoteza kwa sasa simu hasa vitochi na accessories zinaagizwa kila leo na Ma Giant ktk Soko...Bora aanze kwa kujumua Kariakoo au mkoa aliopo kulingana na Trend iliyopo kuliko kukurupuka kuagiza kwanza kisha akipata uzoefu ndio aanze kuagiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.