Natafuta nyimbo hizi mwenye anazo anisaidie..
!. Kalapina- Asiyekubali kushindwa sio mshindani
2.Tatuu - Penzi la daima
3.Miss sarah - Nikuite jina gani mpenzi
4.Complex - nyimbo imenitoka ina beat flani nzito.
Watanzania acheni kuishi kwenye ndoto..kenya taifa la wanaojitambua miaka mingi hamuwezi kuwazidi hata siku moja...chuki zao za kisiasa sio kwamba eti wanasabotage uchumi wao...kenyans are hard workers....intelligent people...sio nyie wavivu wa fikra mnakesha mitandaoni kupost...
Dr.Slaa akija CCM that means hawezi kufanya siasa tena, Labda aende ACT. Maana majaliwa ya siasa za Mzee Slaa yanategemea kuisema vibaya CCM na serikali yake, nje ya hapo hawezi siasa.
Hii point ya bwana Mussa Allan...nimeielewa sana...slaa astaafu siasa tu na arudi kanisani kama ndugu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.