barikiwa sana ndugu Ontario kwan darasa tulilopata ni zaidi ya tujuavyo sisi kwan ni nadra sana kupata mamentor ambao very deeply in teacher and care,also for you kwa kuona kuna watanzania ambao ukiwapa hii frusa wataiweza na pia kutukwamua katika maisha.in such matunda yameshaanza kuonekana...
Mungu awatangulie wale wote watakaoanza safari ya kwenda kupanda elimu ya forex,Ndugu ONTARIO MUNGU akubariki kwani umepambana hadi kufikia mafanikio tuko pamoja
ina maana huyo mtu ana uchu wa namana gani?je akisafiri huwa anaishi ishi vipi awapo safarini?mkeo ni mkeo tu mpe nafasi akulele mtoto,mimi huwa nahama hata chumba kwa muda ampe mapenzi motomoto mtoto wetu.
ndo nilikuwa na maana hiyo mwana wa ngurumo,nahamisha sl nikiwa kwenye faida na si nikiwa kwenye hasara,na pindi account imeanza kupukutika inanikuwa sl iko kwenye faida so inaniacha nikiwa na faida
Bwana Ontario wewe ni wa kipekee sana kwani tokea huu uzi umeanza hakika hakuna mtu ameacha kupita hapa jamii,umewafanya watu wawe bize muda wote,najua wewe ni mmoja mwenye nia nzuri ya kuwakwamua watu kwenye lindi la kukosa ajira na pia hata wale ambao hawajabahatika kuendelea na masomo,ila...
mimi SL naweka ila ikipanda currency juu na mimi nahama na SL hadi najikuta SL inakuja kukata ikiwa kwenye faida kama currency inashuka sijui kama hapo nitakuwa nakosea wadau
Having A Daily Risk Limit
I recommend having three to four risk thresholds as part of their trading plan. They are:
1) A max risk per trade
2) A max risk per day
3) A max risk per week
4) A max risk per month
A max risk per trade should be based upon your
NOTE: You cannot calculate your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.