Kusema ukweli inaumiza sana kuona hawa wachina wananunua mpaka milima kwa lengo la kuchimba mawe ya kutengeneza mabo,milima inachimbwa mpaka inaisha yanabaki mashimo na nasikia dhahabu wanapata na wanachukua,mazingira yanaharibika.....Inaumiza sn
Naamini Watanzania wengi wamelelewa katika msingi ya kidini iwe uislamu,ukristu au uhindu lakini bado kuna ufisadi,hivyo kuweka somo la dini kwenye tahasusi sidhani kama itapunguza ufisadi.
Ukienda Mbeya sukari inayotumika ni kutoka Malawi na Zambia toka kitambo,na naamini kwenye 'border' zingine Sukari toka nchi jirani itakuwa inapatikana kwa wingi na kwa haraka,nabaki najiuliza kwanini Sukari isubiriwe toka Brazil ambako ni mbali wakati nchi jirani sukari ipo ya kutosha?
Nkumbuka ilikuwa usiku wa saa nane bweni la Tembo nimetoka zangu nje kupnguza maji ya kibofu ile nimeanza tu kukojoa nsikia ndala zinalia pa pa pa.... Kucheck naona kitu cheupe kifupi hakizidi futi 2 kinapita kimevaa nguo nyeupe dizaini ya kanzu hivi kiko umbali wa kama mita 40 hivi giz...
Ukienda Airport za Kimataifa nyingi tu utakuta mishale ya kukuelekeza "PRAYER ROOM". Sasa kwani tatizo hapo liko wapi?, Ni suala la Cultural tolerance tu!
Hivi kuna tofauti kati ya msikiti na prayer room?
Ninavyojua hata choo hauruhusiwi kudesign maana sio taaluma yako,ww ni kupangilia mji tu mf.nyumba za makazi zikae wapi,viwanda vikae wapi,masoko yakae wapi,nyumba za ibada zikae wapi,sehemu za wazi zikae wapi n.k
"MKOA wa Geita upo hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa shule ya msingi ya mchepuo wa Kiingereza ‘English Medium’ ambayo itakuwa ya kwanza kujengwa na serikali nje ya mkoa wa Dar es Salaam"
Hivi ile shule ya MKAPA PRIMARY SCHOOL(English medium) iliyopo mkoani Mbeya mjini ni ya private?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.