ngoja nikujib kwa kisw maana unaonekana unatumia nguvu nyingi kuandk englsh yak,
ipo ivi awo wabunge wote walioamia ccm ni njaa zilizowapelek uko iyo ni baada ya kuona watashndwa kweny uchaguz wa 2020 kwasabab yakukosekana democracy ya kwel, na wizi wa kula unaofanyw na chama tawala kwa kutumia...
Mama angu anasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo ameshatumia sana dawa za hospital, msaada kwa anaye jua dawa za asili ili nijaribu kumpa nazo msaada wenu wana jamii!!![emoji33]
Wasikutishe bwana leo nilikua udsm ucc, wameniambia watu kama ao wapo na utaratibu wa ku unconfirm unawatumia email wanakutoa wala amna shida cjajua institute nyngne
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.