Huo ni mtazamo wako maana una mawazo mgando tambua chadema ilikaliwa vibaya na ikazuiwa kufanya mikutano hivo wakaua mfumo ulio kuwa umezoeleka ndo maana unafikiri hayo ila jua kawa chadema ipo katka mioyo ya watu ndugu we subili utakubsli mwenyewe mzik wa chadema.
Hana mvuto wa kupendwa kufuatana mfumo alionao wa kujiona kuwa hakunamwingine kama yeye (ali maarufu Mungu mtu) na alipo yeye hakuna anayestahili kuwepo milele.
Hafai kuwa kiongozi kivpi na wakati yeye ni kiongozi wa chama na ukisema hayo je kanda ya ziwa kwa sasa tuna mawaziri wangapi? Kama ni ukanda na ukabira umeanzia kigumu kinatuumiza maana mwendazake alisema sehem ambayo wana viongozi wa upinzani hatawapelekea maendeleo na ni kweri alifanya hivo.
Hapana wamemshambulia mno, wangempa muda kwanza waone kuwa je ataweza kufanya shughuri kiufasaha na kuwa msemaji sio kwamba wewe ndo muandaaji bali we unapewa vitu vikiwa tayari unaenda kuutarifu uma ni kazi ambayo hata Senga au Hamorapa wanaweza hivo tumpe muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.