Kiufupi CCM wanaongoza nchi kwa Mabavu na Uchaguzi wao ni wa janjajanja lakini ukiwakuta wanavyo wadanganya wananchi wachache wasiojitambua ili wazidi kuwasifia katika maovu yao
Ndio maana watoto wengi wanakuwa na uelewa finyu wa maisha kwa sababu wamekaririshwa Elimu ndo kila kitu ndo maana huwezi kufanikiwa maisha kwa kutegemea Kuajiriwa utaishi kuwa mtumwa wa kazi kwa sababu hauna maarifa au ujuzi wowote wa kuweza kujiinua zaidi kiuchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.