Kumbe haujielew. Kinacho fanyika hapa ni swala la fans base kama unafans wengi unaenda kiwanda chochote unaingia nao mkataba wanatengeneza kinywaj au kitu chochote kwa jina ulalo dhan litakua bora then malipo ni kwa parcent big up to @alikiba.
Sitaki kuamn ktk hlo. Tangu antoa nenda kamwambie. Ninyimbo ngapi katoa na nizp zmemtambulisha ktk ulimwengu wa muzk. Think about your successful. Au kwa kua nmuzki?? Ivi unajua klicho nyuma ya douj Mohammed!? Au said sud barcklesor.?
Si kwamba hamwan CAG la hasha!! Bali kiuahalisia nikutaka report yenye uhakika kwa kua ktk nyanja zinazo ipa taifa fedha ni madin na uwezekano upo wa kufanywa figisu figisu ikatengenezwa report isiyo sahihi na ndyo maana amempa mkwara huo.
Tatizo ni kwenye kula tu!!! Sasa kuandika au kufanyia kazi mkono wa kishoto pana tatzo gan!? Nadhan hapana shda ila tuu si vyema Mtu mzma kula kwa kushoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.