Wakuu Kwema?
Naomba aliyewahi kusafiri kwa gari binafsi Dar to Musoma au Musoma to Dar alitumia masaa mangapi? Nataka kupata experience. Maana nilisafiri kwa Bus nilitumia masaa 22 sio poa.
Habari zenu.
Ni ipi ruti rahisi zaidi ya kufika Butiama kwa mwaka huu 2026 kwa kutokea Dar es Salaam.
Naomba kujua, Basi za Kupanda.
Nauli kiasi gani?
Shughuli kuu za kiuchumi za Butiama ni zipi?
Musimpopoe jamani, ameeleza vizuri ispokuwa yeye amebase kwenye brand name, ingawa brand ina vitu vingi ndani yake kama vile Name, Visual identities (logos, mabango n.k), values (thamani/tunu) na kadhalika.
Na pia inaenda sambamba na marketing pia, maana kufanya branding pekee bila marketing ni...
Mtume Muhammad ﷺ amesema:
"Msizifanye nyumba zenu kuwa makaburi. Hakika shetani hukimbia kutoka katika nyumba inayosomwa Surah Al-Baqarah."
(Imepokewa na Muslim, Hadithi namba 780)
Kuhusu Kutoa Kafara Ng'ombe ni kweli, huwa wanamaanisha binadamu.
Nakumbuka kama Miaka 18 iliyopita (ilikuwa ni around 2006 au 2007 nakumbuka) baba yangu mdogo alimleta bosi mchimbaji madini kijijini kwetu kuna mahali palikuwa kuna chenga za madini.
Baada ya kufika pale Mwenyeji aliyempeleka...
Ni kweli,
Niliwahi kuona taa nzuri mtandaoni inauzwa 20,000
Ila kabla sijanunua nikasema ngoja nikaulizie maduka ya karibu nikakuta bei ni Tsh 9,000 Tu tena ni pembezoni kabisa mwa mji. Naamini taa hiyohiyo kwa Kariakoo Unaweza kupata hata kwa Tsh 5,000
CRDB BANK:
Nilifungua account ya CRDB lakini nilikutana na mambo ya ajabu mpaka nikatelekeza account baada ya miaka 4.
Niliwahi kufanyia miamala ya kutoa pesa kwenye ATM za CRDB ndani ya mwaka mmoja tu baada ya hapo ikawa kila nikenda kutoa pesa ATM ya CRDB kadi inagoma inasema "This Card May...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.