Ndugu yangu naona umekaririshwa na wazungu juu ya madhara ya kutahiri, lakini "the opposite is true one". Hujawahi kushiriki tendo hilo unawezaje kulishudia ubaya wake kama siyo kukaririshwa. Natamani kujua mila yako ili nikufahamu vizuri ulivyo 'staarabika!'. Wachaga wameishi Kilimanjaro miaka...
Hao dawa yao ndogo tu; tembea na simu mbili, moja touch na nyingine ya tochi. Akija kukuomba mtolee ile ya tochi kama atakimbia nayo. Sitaki ujinga mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mleta UZI nadhani ajiridhishe vizuri na elimu huyu DED Mpya maana Mwalimu Luhende Gerald ninayemfahamu kabla ya uteuzi huu alikuwa ni mkaguzi wa elimu tangia Kigoma na sasa alikuwa kanda ya mashariki akiwa na kituo chake cha kazi kule Morogoro.
Somalis happiest in East Africa, Burundians most miserable in the world
Wadau hii imekaaje!
Somalis are happier than Kenyans, in spite of having endured war for more than two decades, a new report shows.
Ranked at 76 globally in the 2015 World Happiness Report released by the United Nations...
Mara kadhaa nimepata kusikia mitizamo tofauti juu ya mtu napokufa, wengine wakisema hubakia kaburini na kuoza tu.
Wengine wakisema anaenda peponi kupumzika na hata wengine wamediriki kusema anaenda akhera kukabili mateso kwa yale maovu aliyotenda akiwa duniani.
Nini mawazo yko kwa jambo hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.