Recent content by kelao

  1. kelao

    Gari kuzima relini

    Aisee
  2. kelao

    Aliyekuwa Askofu KKKT, Dkt. Edward Mwaikali ahamia Kanisa la KKAM, ugomvi wa mali waibuka

    Ndo maana mnaambiwa kuwa Kanisa ni moja tu KATOLIKI TAKATIFU LA MITUME.
  3. kelao

    Wamasai tuungane nao, Tupaze sauti wanahaki ya kuishi Ngorongoro na Loliondo

    Ardhi ni mali ya UMMA na sio mali ya serikali.tofautisha umma na serikali
  4. kelao

    Idadi ya watoto ndani ya ndoa: Nani huamua?

    Wavivu ndo huzaa watoto wachache,hebu fikiria umezaa watoto 2,mmoja akawa shoga mwingine nun vipi utapata wajukuu?”zaeni mkaongezeke na kuijaza dunia “ni kauli ya Muumba mwenyewe
  5. kelao

    Ikulu mpya lakini bado ina muonekano ule ule wa zamani

    Kwa kweli hata mie nimeshangaa,ina maana mpaka karne hii hakuna ramani ya kisasa kuliko hii?
  6. kelao

    Ukiwa bahili, Wanawake wazuri utakula kwa macho tu

    Kwanza ukumbuke alimwacha hapo bar akaondoka bila kuaga,inawezekana kabisa alikuwa na ahadi na jamaa mwingine hivyo alienda kugongwa chap ndo akarudi kwake,aisee
  7. kelao

    Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

    Ni kweli mkuu,pamoja.nilikuwa navuna mahindi huku shambani
Back
Top Bottom