Wala hakuna chochote kibaya ni hasira tu,, watoto huwa wanazingua kwenye kula afu unakuta bi mkubwa anazo ratiba kibao za kufanya anaona kama anapotezewa mda wa kuzimaliza kazi zake,, achana na mawazo -
Ni kweli inaonekana huyo dada ama wote na mshkaji(ex) wanapendana na hawawezi kuachana maybe lakini kutokuachana kwao cyo kwa kuwa mume na mke nah ni kwakuwa michepuko ya kudumu maana jinsi mapenzi yao yanavyoenda inaonesha kabisa huyo ex wa dada hana future nae ndo maana hata anakubaliana nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.