Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,407
- 36,551
Kwani we ni male or female.
?
?
Na malipo yanaweza kuwa hitaji la mahusiano yake hahaaaMkopeshe huenda akakulipa
Na malipo yanaweza kuwa hitaji la mahusiano yake hahaaa
Kama wewe ni mwanaume jua mwanamke hakopeshwi pesa, anapewa!! Ukijiloga kumkopesha imekula kwako.Nadau nimeingia kwenye uhusiano naye kama mwezi mmoja hivi lakini tayari sasa hivi anataka nimkopeshe pesa shilingi milioni mbili
Yeye ni mtumishi wa umma ila wasiwasi wangu nikimpatia hiyo pesa atarudisha kweli au ndio nitacheza karata tatu kuliwa maana ni mapema
Wale wazoefu waniambie nikitoa hii pesa atarudisha kweli?
Mleta mada fwata huu ushauri.Duh! Kwanza wewe ni Me au Ke?
Pili, kama kweli unataka kumsaidia, chukua hiyo pesa, alafu umpe mtu anayejua kudai. Mwambie huyo mpenzi wako kuwa huna, ila utamdhamini akakopeshwe na mtu fulani. Unaenda naye kwa yule mtu alafu wanaandikishana. Chochote kitakachotokea, watadaiana wao kwa wao. Wewe utaweza kuipata pesa yako kwa mgongo wa nyuma.
Otherwise, hiyo milioni mbili iwe ni pesa ndogo kwako. Yani isiwe imezidi asilimia 20% ya pesa yote unayomiliki. Ikizidi hapo utakuja kushika kichwa....