yani mtoa mada unatuona humu jf ni watoto mno! mpaka utupikie haka ka hadidhi kauongo? pelekea kahadidh kako watoto wa chekechea. wanaweza wakajua nikweli.
raisi mwenyewe ana wakubali wasanii, wewe unawaita wahuni! au haujui kua alienda kuagana nao Juzi!. tukubali tu, wapo wasanii wenye uwezo mkubwa wakutuongoza! kama prof. j! mwanaharakati tangu kipindi cha nyimbo zake za ndio mzee. penye ukweli tukubali.
Ww msanii! ! ! unasema raisi aliwaita! mbona tumedanganywa kuwa nyie wasanii ndio mulimualika kwa ajili ya kumuaga?, nakushukuru kwa kusema ukweli msanii wewe.
watu wapangani ndio hawataki maendeleo! miaka yote hyo iliyopita mumeona kivuko tuu ndio maendeleo? badilisheni upepo wa uongozi. (hivi stendi ya pangani ilisha jengwa?) niliiona nikasikitika sana.
CCM haina chakutuambia wananchi zaidi ya kuamini kuwa LOWASA sio fisadi... haiwezekani afanye ufisadi na miaka yote hiyo kupita aachwe tu! hata mahakamani asipelekwe. NIMEAMINI LOWASA HANA TATIZO! Kwa serekali makini chiniya CCM, lazima ange wajibishwa nakufilisiwa! kwakua hilo halijafanyika...
Watu wengine bwana!!! Cdm wakiwa na mkutano usipofurika watu "Cdm imekosa mvuto", watu wakifurika "Hawakua na kazi zakufanya" Jamani!!! mbona onyo hili ni baada ya Cdm kufanya mkutano wa kihistoria Mwanza? Watanzania wa leo sio wa jana.. Wanajitambua na haohao WAPINZANI ndio wamewafungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.