charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Tunahitaji jithada za makusudi kuirekebisha PANGANI mji mkongwe wenye vivutio vya kila aina. Mheshimiwa RAIS tunaomba barabara DAR-BAGAMOYO-PANGANI-TANGA iwekwe lami. Tunashukuru kwa kuvuko cha uhakika pale pangani, umetekeleza AHADI. Fantastik KIKWETE.