Recent content by Keifo

  1. K

    Mamia Pangani wahamia CHADEMA.

    Karibunii sanaa makamanda tupige kazi
  2. K

    Siasa za CHADEMA hatimaye zaanza kutuchosha wanachama

    Kama umchoka na cdm nenda kwingine mm kama mm bado naikubali sana chama changu cdm
  3. K

    Wapiga kura Monduli wanalia,wanashangaa harambee kwa mamilioni za mbunge wao

    Tatizo wachangiaji wengi wamefika monduli mjini tu halfu wakafikiri kiujumla kuwa hata na huko vijijin hali ni hiyo! hapana monduli kuna shida sanaa kwanza hakuna zahanati karibia vijiji vyote, maji salama ya kunywa hakuna vijiji vyote vya monduli hata pale mjini ni magumashi tu, shule zenyew...
  4. K

    Wapiga kura Monduli wanalia,wanashangaa harambee kwa mamilioni za mbunge wao

    kuna maji na je kule vijijin hali vipi monduli ni moja ya wilaya zenye shida nyingi sana kama ndugu yangu alivo orodhesha
  5. K

    Wapiga kura Monduli wanalia,wanashangaa harambee kwa mamilioni za mbunge wao

    Wew unapajua monduli au unachangia tu monduli cyo pale mjini tu hapana nenda vijijin kama utakaa hata siku maji hakuna kabisa zaidi ya maji ya mabwawa
  6. K

    Unafiki wa Mbowe na vibaraka wake kwa watanzania

    Magamba bhana bungeni wanaenda kuimba taarab na kupiga uzingizi...kwenye jf nao wanaimba taarab tu mtakoma 2015
  7. K

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    Kwahiyo hayo ndiyo matatizo ya jimboni kwake ama ndiyo kauli yao ya kusema tumechoka
  8. K

    Unafiki wa Mbowe na vibaraka wake kwa watanzania

    tatizo ujasema na sababu iliyomfanya asiende safari hiyo
  9. K

    Jimbo la Njombe Kusini waikataa ccm

    Watu wamechoka bhana
  10. K

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo ahamia CHADEMA

    Karibu sanaa kamanda ila asome kwanza katiba ya chama chetu vizuri
  11. K

    Liverpoolfc: Ulionywa kwamba KAUNDIME ni habari ingine ukabisha, sasa kiko wap?

    Huyu LiverpoolFC ni mtambo wa A town nini???? Hivi nitamwonaje????
  12. K

    Liverpoolfc: Ulionywa kwamba KAUNDIME ni habari ingine ukabisha, sasa kiko wap?

    Hebu nipeni nambari ya huyu Kaundime. Natamani niifanyie kazi please.
Back
Top Bottom