jamani mwl nyerere u wapi baba wa Taifa???? mwizi anaombwa kulipa kodi badala ya kupelekwa mahakani??? je kuna biashara alifanya na kupokea fedha hizo??? je kuna mshahara alipokea anatakiwa kulipa kodi??? mnatuchanganya sanaa ila cheupe ni cheupe na cheusi ni cheusi tu
Mungu awatangulie vijana hao, mungu amsamehe huyo muua wilaya. vijana hao wamepita wilaya nyingi sana toka Geita hadi magomeni, labda amepewa maagizo na polisi wa Ikulu.swali ni kwamba watashitakiwa au kufunguliwa kesi kwa kosa lipi???
Kumbe escrow ni wahisani wa kanisa katoliki??? Rugemalila naye ni mhisani???jamaaa mbona watetea sana askofu??? kesho askofu atawanyoshea vidole wezi wa mali ya umma au atawashangilia????Tafakali
Wananchi wamekuwa na imani na maaskofu ila kwa hili sifuri tu acha kuhadaa watu,mbona maaskofu wa makanisa mengine hawakupewa matoleo hayo???? walimu wanadai shilingi ngapi??? hali ya huduma msingi za binadamu ikoje?? mfano afya, maji, barabara, elimu na mengine??? nyie mwajiita wasodhambi kumbe...
Ridhiwani weka cv yako tuione na ueleze wazi ukuu wa Idara TRA na utajiri wako, Nape weka cv yako wazi tuione ulivyosoma kidato cha tano na sita chuo cha ualimu B utimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.