Ndugu zangu habari. Naomba kujuzwa intake ya march 2022, masters UDSM deadline lini maana najaribu kuingia kwenye admission site inasuasua sijajua kama nimechelewa au bado na kwenye tovuti yao haionyeshi deadline
Hellow in here, please i am looking for a reliable supplier of forklift parts especially for HELI CPCD30/CPCD70 /CPCD100. Nitashukuru sana kwa msaada hata wa mawazo.
Samahani Bibi mikopo nimeuchelewa huu uzi ila sio mbaya kama nikiuliza jambo hapa, mimi ni mwanafunzi niliapply chuo pamoja na mkopo mwaka jana 2014/2015 na nashukuru Mungu nilipata chuo,ila kwa bahati mbaya sikupata mkopo na sababu niliyoikuta nilipoangalia status ni kwamba nilikaa zaidi ya...
1)Nimesikia kwamba ukipata asilimia 0% maana yake eti tuition fee hupati hata senti tano ila boom unapata.
2)Pia nimesikia ukikosa mkopo mwaka wa kwanza unaweza ukaomba mwaka unaofuata na ukapata bila ya kujali sababu zilizokufanya ukose mwaka uliopita.
3)Nimesikia pia ili kupata mkopo moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.