Recent content by kazy

  1. K

    Oil sahihi ya subaru SJ5

    kwa hyo unataka kuniambia W20 ni nyepesi sana haifai,mhh wakati wenyewe ndio wamerecommend itumike kwenye gari yao mh nina mashaka.
  2. K

    Oil sahihi ya subaru SJ5

    Wadau heshima kwenu,mgeni kidogo hapa,msaada tutani nina sj 5 na kwenye kizibo oil inayotakiwa nimeona ni OW 20,na nimekuta kuna kampuni mbili aina ya alphard titanic ila nimeshangazwa sana na utofauti wa bei wa hizi kampuni mbili titanic nimeambiwa ni 150 wakati alphard ni 55,000 naomba...
  3. K

    Maskini Trump amenywea sana kwenye vita vya kibiashara. Aibembeleza China, nayo yamtolea kwa mbali

    mleta hizo picha hajielewi ,bila ya shaka ana mtindio wa ubongo
  4. K

    NAHITAJI HOMETHETRE

    mzee 700k used duh mbona mpya ni 750 tu?
  5. K

    NAHITAJI HOMETHETRE

    Habari wakuu,nahitaji hometheatre used iwe nzuri na iwe na muonekano mzuri nahitaji 5.1 ,kampuni yoyote ila ikiwa Lg itapendeza zaidi.
  6. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    let us be honest to ourselves,IDF imeizidi mbali hezbollah ila pia hezbollah kuna developments nyingi sana amezipiga hasa za kiteknlojia lakini haiondoi ukweli kuwa izraeli yuko juu ya proxies zote zilizopo middlea east, waarabu wana kazi ya ziada ya kufanya
  7. K

    Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

    vita hushindiwa kwa kushinda mapambano madogo madogo ,hivyo israel juiingilia vifaa vya mawasiliano vya kilebanoni na kuvilioua na kupelekea opponent wake kujeruhiwa na wengine kufa hayo ni mafanikio sana kwake,tuwe wa wazi.
  8. K

    Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao

    waarabu hawana akili yaani anapigwa mmoja baada ya mwingine wao wanakaa wanaaglia tu hawachukui action yoyote.STUPID.
  9. K

    Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

    itoe hiyo namba katika publich huo sio uungwana hata kidogo.unatoa namba ya mtu tena bila ya ridhaa yake kwenye poublic
  10. K

    Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

    mimi nilichogundua ni kuwa huyo demu ni fundi wa mapenzi kitandani hivyo jamaa hana ujanja,ila all in all he is among the dumbest person in JF maana tatizo analijua na anashindwa kulitatua,poor him.
  11. K

    Mpenzi wangu alinidanganya umri

    ULIANZAJE KIANGALIA CHETI CHAKE?
  12. K

    Martin Kadinda na mkewe, mashallah

    WEWE ULISHAWAHI KUMUONA MARTIN KADINDA?
  13. K

    Ramani ya vyumba vitatu

    njoo DM NIKUPE RAMANI FREE OF CHARGE,NZURI KABISA
  14. K

    Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

    binafsi yangu natamani israel apambanane na makundi ya kigaidi ila asidhuru raia ambao w=hawana hatia kama ambavyo anafnya pale palestina,kama anapigana na hezbollah basi apigane nao sio kuianganmiza lebanon nzima hiyo sio sawa,najua hoja haa itakuwa mbona hezbollah anapiga wanisrael huo...
Back
Top Bottom