Recent content by kazoa78

  1. kazoa78

    Download application kwa Iphone

    Sizijui hizo application za kudownload,nitajie
  2. kazoa78

    Download application kwa Iphone

    Naombeni kujua applications gani naweza kutumia kudownload kitu kwa simu aina ya iphone
  3. kazoa78

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    Mmmmh hamna nn ati[emoji13]
  4. kazoa78

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    Wanajali ila wana hasira uwiiii
  5. kazoa78

    Ushauri: Sina uzoefu wamapenzi nifanyaje?

    Habari za asubuhi, Naombeni ushauri juu ya hili nilikuwa na mkaka tuliachana kila mtu akaendelea na yake ila sasa kila mtu anataka uhusiano urudi. Lakini akasema sasa inabidi ufanye majukumu yako vizuri.Sasa hayo majukumu wakaka mnayotarajiwa kufanyiwa ni yapi? Naomba kujuzwa wakuu. N.B...
  6. kazoa78

    Cooking classes; Anaejua zilipo kwa Dar

    Msaada: Kwayeyote anayejua sehemu wanazofundisha kupika kwa Dar es salaam,naomba anijuze.
  7. kazoa78

    Namna ya kupika Pilau

    Asathe farkina.....umefny familia ile pilau tamuuuu
  8. kazoa78

    Hii imekaaje? ukimuhitaji hakuhitaji na usipomuhitaji anakuhitaji

    Kama unaweza kumpotezea huyo mkaka mpotezee tu We kuwa mpole tu ila usiruhusu mazingira ya peke yenu tena ,we jichanganye tu na washikaji wako atakuja tu.
Back
Top Bottom