Habari za asubuhi,
Naombeni ushauri juu ya hili nilikuwa na mkaka tuliachana kila mtu akaendelea na yake ila sasa kila mtu anataka uhusiano urudi. Lakini akasema sasa inabidi ufanye majukumu yako vizuri.Sasa hayo majukumu wakaka mnayotarajiwa kufanyiwa ni yapi? Naomba kujuzwa wakuu.
N.B...
Kama unaweza kumpotezea huyo mkaka mpotezee tu
We kuwa mpole tu ila usiruhusu mazingira ya peke yenu tena ,we jichanganye tu na washikaji wako atakuja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.