Nimewasikiliza sana watia nia hoja zao nzuri sana kama wataweza kusimamia waliotuahidi ila nashaka sana na watia nia walio kwenye serikali kweli walishindwa kumshauri rais mawazo yao mazuri ili kuliokoa taifa na umaskini? DA bora sasa tumpe ambaye hakuwemo kwenye serikali
Nimepata kazi sehemu mbili tofauti yaani TANROADS NA TAA tanroads scale 5 NA TAA scale ya Taa scale 6 sasa kwa hizi skeli IPI ni shirika zuri kwa malipo nikasaini mkataba mtakaoniongoza mungu awatangulie kwenye shughuli zenu!
Kama unapenda kubase kwenye BARABARA basi soma vitu hivi:- soil, ujue AUTOCAD,GEOTECHNICAL Engineering, ujue materials haya kwa undani zaidi LAMI,ZEGE,STEEL ukiwa fresh hapo hutasumbuka sana, na watakuona upo vzr ,pia procurement uelewe vzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.