Recent content by Kazanazo

  1. Kazanazo

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Hayo yote uliyosema bado hayana connection ya moja kwa moja na umasikini wako ila kwakuwa wewe ni masikini kila kitu utakiona ndio sababu ya umasikini wako Na kingine ulimbukeni, kuna mwingine akifanikiwa tu kidogo basi ataona kila masikini mbele yake kinachompa umasikini ni kile anachokifanya...
  2. Kazanazo

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Wewe ambae sio mfia dini na Mimi mfia dini nani masikini bwashee
  3. Kazanazo

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Wakikosa cha kusingizia katika failure zao wanasingizia dini
  4. Kazanazo

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Twende specific kidogo tuache kutumia general example, maendeleo au mafanikio yana vichochezi vingi kimoja wapo ni aina ya Serikali iliyopo madarakani pamoja na utaifa Hili la dini tuliweke personal kidogo ili tujue ni utofauti gani uliopo kati ya waumini wa dini na wasio waumini tuone
  5. Kazanazo

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Tumuulize Infropreneur ana nini hadi saizi ambacho kinatofautisha na waumini wa dini au ni uzembe wako tu mtoa mada
  6. Kazanazo

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Hapana mkuu wabunge wengi ni std7, wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani, na wakati mwingine hata raisi (kulingana na vigezo vya kielimu). Ninachojaribu kusema ni kuwa siasa za Afrika hazithamini elimu zinathimini uchawa na kujipendekeza kutokana na katiba zetu ukileta ujuaji wako huendi popote
  7. Kazanazo

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Kwetu sisi baba yetu alipata pesa kipindi cha mwinyi kwa kibongo bongo alikuwa rich person, aliwabeba ndugu zake karibia wote mpaka wa ukweni sufulia lilikuwa linapikwa hapo nyumbani utadhani kila siku kuna sherehe hayo yalikuwa maisha ya kila siku nyumbani kwetu Cha ajabu alipofariki tu kila...
  8. Kazanazo

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Mambo za kiserikali hasa Afrika yana multiple factors sio usomi moja kwa moja hasa mtu akishaitwa mwanasiasa Afrika kichwa kinakuwa hakina kitu kabisa zaidi ya akili za kuvukia barabara
  9. Kazanazo

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Ujumbe wako umenitoa chozi mkuu hakika ndugu hawana fadhila kabisa kwa watoto wa mtoa msaada hii huwa inatukomaza akili wengine
Back
Top Bottom