Recent content by Kazanazo

  1. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Kikubwa uweze kulipa bill zote na uwe na balance ayo mengine utajua wewe
  2. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Manispaa ndio wenye tabu hiyo
  3. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hakika kila mtu zamu yake itafika ushahidi ni mwingi sana
  4. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Uchawa mpaka huku duh!
  5. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera mkuu rithisha mikoba
  6. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nimeshtukaa! Kumbe wanawake wa Tarime wana Mikia namna hii!.

    Maneno mingi aijengi gorofaa
  7. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tatizo wanatupanga katikati ya pori hata biashara uwez fanya mjini kuna fursa nyingi lakini pia ukipata pesa kuna pakuitumia sasa porini pesa unaitumiaje
  8. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Hizi sera za serikali kumiliki pesa na biashara zilishamshinda nyerere akamuachia tairi bovu mwinyi ndio maana kila mtawala wa kiislam kiigizo chake ni mwinyi ila wagalatia kiigizo chenu ni nyerere ambae aling'atuka kwa aibu Wacheni uchumi umilikiwe na watu sio serikali ujamaa hauna nguvu tena
  9. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Tatizo letu wasomi wengi, tunataka kuyaendesha maisha kama makocha wakati bado tuko level ya uchezaji

    Bila shaka nayeye pia kashapata uzoefu kupitia alichokifanya kikubwa amejaribu kuna wengine hata kujaribu wanaogopa
  10. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Swali maalum litakalomtia hatiani mtuhumiwa wa Uhaini lilishaulizwa na Wakili Ajuaye

    Ni bora wakuache ufe mwenyew kuliko wakuue mkuu ndio maana kwenye maandiko tumeambiwa tusiuane kwa maana mtu afe mwenyew Siasa sio maisha bali ni mchezo wa maisha
  11. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Swali maalum litakalomtia hatiani mtuhumiwa wa Uhaini lilishaulizwa na Wakili Ajuaye

    Na ukiziangalia kama futuhi lakini mtu anakufa kweli na anapotea mazima Siasa ni mchezo mchafu
  12. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Swali maalum litakalomtia hatiani mtuhumiwa wa Uhaini lilishaulizwa na Wakili Ajuaye

    Siasa siasani
  13. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0505
  14. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0449
  15. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0430
Back
Top Bottom