Recent content by Kazanazo

  1. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Huyu Seran kila thread yupo

    Uzi wa kumi huu anafunguliwa mtu mmoja
  2. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ombaomba wa Tanzania ni wabunifu sana

    Mbaga Jr pitia hapa
  3. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ombaomba wa Tanzania ni wabunifu sana

    Ndio maana ikaitwa sadaka huwa sio kitu cha lazima
  4. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ombaomba wa Tanzania ni wabunifu sana

    Kesho akhera/mbinguni huko hakutakuwa na vibubu
  5. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ombaomba wa Tanzania ni wabunifu sana

    Toa kwa ajili ya kesho yako sio kwa ajili ya huyo anaeomba hiyo ndio kanuni ya sadaka
  6. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela,matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyaje?

    Hama hilo eneo ukikaa na ndugu mafanikio utayasikia tu
  7. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi Yetu Ya Tanzania Inavoporomoka

    Hivi Zimbabwe iliishia wapi baada ya pesa yao kuporomoka anaejua tafadhali
  8. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela,matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyaje?

    Naona unalifirisi duka la boss wako maana hayo matumizi uliyotaja ni makubwa kuliko duka lenyewe
  9. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Nasikitikia hongo zangu, mtu anaomba hela ya kula kumbe anajengea
  10. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Ww boss wetu wa jf
  11. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Vizinga vinauma mkuu tunatoaga kishingo upande
  12. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Pesa inauma mkuu kuhonga raha ukisha cum unajutia kwanini umehonga
  13. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Kila kitu kina negative na postive sides wakijipata tunawapongeza japo kwa masikitiko maana vizinga wanavyotupiga wamevitumia vizuri
  14. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Mkuu nawewe unaombaga
  15. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Huyo uliemtag ashawai kukuomba (jokes)
Back
Top Bottom