Tatizo wanatupanga katikati ya pori hata biashara uwez fanya mjini kuna fursa nyingi lakini pia ukipata pesa kuna pakuitumia sasa porini pesa unaitumiaje
Hizi sera za serikali kumiliki pesa na biashara zilishamshinda nyerere akamuachia tairi bovu mwinyi ndio maana kila mtawala wa kiislam kiigizo chake ni mwinyi ila wagalatia kiigizo chenu ni nyerere ambae aling'atuka kwa aibu
Wacheni uchumi umilikiwe na watu sio serikali ujamaa hauna nguvu tena
Ni bora wakuache ufe mwenyew kuliko wakuue mkuu ndio maana kwenye maandiko tumeambiwa tusiuane kwa maana mtu afe mwenyew
Siasa sio maisha bali ni mchezo wa maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.