Hayo yote uliyosema bado hayana connection ya moja kwa moja na umasikini wako ila kwakuwa wewe ni masikini kila kitu utakiona ndio sababu ya umasikini wako
Na kingine ulimbukeni, kuna mwingine akifanikiwa tu kidogo basi ataona kila masikini mbele yake kinachompa umasikini ni kile anachokifanya...
Twende specific kidogo tuache kutumia general example, maendeleo au mafanikio yana vichochezi vingi kimoja wapo ni aina ya Serikali iliyopo madarakani pamoja na utaifa
Hili la dini tuliweke personal kidogo ili tujue ni utofauti gani uliopo kati ya waumini wa dini na wasio waumini tuone
Hapana mkuu wabunge wengi ni std7, wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani, na wakati mwingine hata raisi (kulingana na vigezo vya kielimu).
Ninachojaribu kusema ni kuwa siasa za Afrika hazithamini elimu zinathimini uchawa na kujipendekeza kutokana na katiba zetu ukileta ujuaji wako huendi popote
Kwetu sisi baba yetu alipata pesa kipindi cha mwinyi kwa kibongo bongo alikuwa rich person, aliwabeba ndugu zake karibia wote mpaka wa ukweni sufulia lilikuwa linapikwa hapo nyumbani utadhani kila siku kuna sherehe hayo yalikuwa maisha ya kila siku nyumbani kwetu
Cha ajabu alipofariki tu kila...
Mambo za kiserikali hasa Afrika yana multiple factors sio usomi moja kwa moja hasa mtu akishaitwa mwanasiasa Afrika kichwa kinakuwa hakina kitu kabisa zaidi ya akili za kuvukia barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.