Recent content by kayumba yumba

  1. K

    Evalist chahali na Ebook zake

    wakuu,nimejaribu kununua kitabu mtandaoni kwa njia ya M-pesa, kwa chahali lakini nimeshindwa kukipata wiki himeshapita sijapata kitabu sijajua kama nimezulumiwa au sijajua njia za kukipata? naombeni ushauri
  2. K

    Je fasihi ni kazi ya sanaa?

    Wakuu,naomba ufafanuzi na sababu.
  3. K

    Je, Fasihi ni kazi ya sanaa?

    Wakuu, Naomba ufafanuzi na sababu za msingi.
  4. K

    Maneno haya yana maana gani?

    1.Locutionary. 2.illocutionary 3.perlocutionary naomba kufahamu maana..
  5. K

    Khalfan Kikwete ahusishwa kuuziwa UDA kwa bei ya kutupwa, kukwepa kodi

    Unamkumbuka Khalfan Kikwete? Yule dogo wa "Mama Salma" aliyetoa clip kipindi cha uchaguzi akitukana upinzani na kusema CCM haiwezi kutoka madarakani hata iweje? Dogo ambaye wakati anazaliwa Tanzania ilikua imeshafanya chaguzi za vyama vingi mara mbili (1995 na 2000). Dogo ambaye rafiki yangu...
  6. K

    Zitto Kabwe, kutoka uzalendo hadi usakatonge

    Wakuu,Nawasilisha tuchangie pamoja. ZITTO Zuberi Kabwe, kiongozi mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, ni ndumilakuwili. Ni kigeugeu. Haaminiki .Anaandika Saed Kubenea … (endelea). Anataka kupanda farasi wawili kwa wakati mmoja; lakini kwa barabara tofauti. Anasukumwa na maslahi binafsi. Leo...
  7. K

    Sakata la Makonda kuwaweka ndani watendaji waliochelewa; Mtizamo wa kisheria

    Na. Julius Mtatiro, Nilipo- post juu ya jambo hilo mjadala mkubwa wa wananchi umekuwa ni kutaka kujua sheria inaelekeza nini kwa mamlaka ya wakuu wa wilaya. Kwa uelewa wangu wa shahada ya kwanza ya sheria nimeona niwawekee hapa ufafanuzi wa kisheria kwa ajili ya faida yenu na mjadala mwingine...
  8. K

    Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

    Naomba ujumbe huu umfikie mh Jakaya Mrisho Kikwete, Amiri jeshi mkuu wa jamhuri ya muungano Tanzania, Rais aliyebakiwa na siku chache, masaa machache kuiacha Ikulu. Swala la kuiacha ikulu ni swala la kikatiba, tena lipo wazi hakuna wa kulipinga. Nimefuatilia hotuba ya Rais J. K, kwa makini...
  9. K

    Professor Jay (Joseph Haule) amekamatwa na amenyimwa dhamana

    Viongozi wa kata ya mabwererbwere jimbo la mikumi kwa Prof Jay wamekamatwa kwa kosa lisilo na miguu wala kichwa kua wamevamia nyumban kwa mgombea udiwani kata tajwa na kupora laki 5 pamoja na kumjeruhi mgombea udiwani huyo....Prof Jay ametaka kufanya mipango ya dhamana kwao lakini imeshindikana...
  10. K

    Mkakati wa CCM kudhohofisha UKAWA umevuja

    UKAWA WAZIDI KUIKABA CCM, MIPANGO YA CCM NJE. Katika kile ambacho kinaelezwa ni kubanwa kwa CCM, chama hicho kikongwe sasa kimekuwa kikijaribu kila mbinu kujinasua katika kibano cha UKAWA. Kuna taarifa kwamba CCM inawanunua baadhi ya viongozi wa UKAWA kwa kuwarubuni na kuwapa propaganda za...
  11. K

    CCM/Magufuli na falsafa ya kuiga-iga.Duh wameiga na hii

    Hii Iga iga ya Magufuli sasa itamtokea Mahali asipopategemea. Eti baada ya ile Propaganda yao ya ugonjwa kudunda, baada ya Wananchi sasa kuwajibu kwamba tutamchagua huyo huyo MGONJWA kwasababu tumekuwa tukiwachagua WAZIMA ambao hawajui MATESO ya mtu KUUGUA, matokeo yake MADAWA hakuna...
  12. K

    Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

    Jana kilifanyika kikao cha dharura Ikulu baada ya Mbatia kumaliza kuhutubia, na walikubaliana yafuatayo; 1. January Makamba amjibu Mbatia ili kupunguza concentration ya watu kwenye hotuba ya Mbatia. (Hili limetekelezwa). 2. Magufuli atumie brand name ya M4C ili kuwachanganya wapiga kura...
Back
Top Bottom