Anyways huu uzi umenipa wazo kuwa wanawake hatupendani, huyo binti itakua alikuwa anamchumguza tangu siku nyingi huenda kuna vitu alivitamani labda pesa, muonekano au kadhalika akaamua kuingia kwa staili hiyo. Wanawake dizain hii wapo sana hata kuzaa na mhusika siyo shida ilimradi tu aharibu...
Ukiwa kama mwanaume kuna mambo mengine inabidi usimame mwenyew,my mom and dad had the same situation several years ago and now they are happy together . Swali je kwenye ndoa yako utaweza kufanya maamuzi mwenyewe au mpk mama? Na ukumbuke sio kila mama mkwe ana sababu ya kumchukia binti wengine...
Hakuna mkosi kama kuingilia ndoa ya mtu hata mtoto atakayepatikana hapo hatapata baraka yeyote. Anyways unatoka na mume wa mtu hujisikii aibu?baadae umri ukienda unaanza kulia lia Hamna wa kukuoa. Unatembea na binti mdogo akipata mimba ndio unaanza kuhaha na baadae ni kusambaratika kwa ndoa yako...
Alichokisema mtoa mada kina ukweli ndani yake wachache wataelewa anachomaanisha lkn tukirudi kwenye tabia hicho ni kitu ambacho hakitabiriki kuna ambao wanakaa majumbani Lkn ni malaya na viburi
Yeah hiyo hali unayosema ipo na ni kushukuru tu amejitunza mpk that age the issue ni kwamba bikra jinsi inavyozidi kukaa na kuitoa pia inazidi kuwa ngumu if you are strong and tough enough itoe mwenyew lkn kama itashindikana chukua tu hiyo procedur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.