Kama haujawahi kula mgongo

Kama haujawahi kula mgongo

Mkuu achana na ya watu, wengine wanatunga story tu ila wanaogopa mambo hayo, angalia imani yako, ustaarabu wako basi inatosha
 
Ikishaitwa dhambi tayari ni chukizo mbele ya Mungu kwa mujibu wa vitabu husika.
Hivi mkuu ukakutana na mtu aliyekuibia fedha nyingi alafu papo hapo ukakutana na mashoga wanafanya yao bila kuingilia uhuru wako utachukua hatua gani?

Kupambana na mwizi wako au mashoga ambao hata hawali kwako?
Kwanini uchukizwe na watu walioamua kutumia miili yao wapendavyo bila kumbugudhi mtu wakati yapo mengi ya kufanya?


Pombe anywe mwingine kulewa ulewe wewe
Nina mashaka na wewe...
 
Kinachafanya nichukie Tigo...sehemu inayopitisha tope...kiukweli siwezi huwa nakua na kinyaa ghafla hata kama ni msafi vp
 
Back
Top Bottom