mambo yana enda speed.. leo wazenji hawaitaki katiba mpya, wanaona iliyopo ina wa favor.. Kosa kubwa alilofanya huyu anaye andaliwa kuwa mtakatifu Nyerere ni kuiachia Zanzibar, ilitakiwa mara baada ya kuungana ni ku unganisah kila kitu, yaani zanzibar iwe mkoa wa Tanzania. kufikia leo...
Usahaulifu wa watanzania ni mtaji mkubwa wa wana siasa.
hapo unaweza kuta uwanja uka jaza maji, na huyu huyu msigwa kaja kutoa ufafanuzi kuwa zina htajika bilion zingine 19 kukarabati. wana jua wana ongea na ma mbumbumbu ambao ni wasahaulifu
hauna hoja mkuu...
Ni kwamba kulikuwa na jibilei ya miaka 25 ya Askofu Ndizeye, maaskofu wenzake wengi kutoka sehemu mbali mbali walikuja kahama.
ni lazima usalama uimarishwe, kumbuka mambo yaliyo tokea Olasiti Arusha, Bomu lili rushwa.
sioni kosa lolote hapo kuweka ulinzi mkali
hoja zilipo...
KAMA HUJA LIPWA CHOCHOTE KUMTETEA HUYO MAMA, BASI WEWE Mawele jihesabu miongoni mwa watu wapumbavu sana.. kama ume lipwa basi sawa najua upo kazini huyo mama ndiyo mjinga, hela za maendeleo anatumia kulipa machawa kama wewe..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.