Recent content by KAWETELE

  1. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Muasisi wa kuwafanya CCM na wabunge kukosa kauli na Kumuona Mwenyekiti kama Mungu ni Magufuli

    usahaulifu wa watanzania ni mtaji wa wana siasa.. MUANZILISHI Wa utekaji, kupenda kusifiwa ni Jiwe
  2. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Historia ya Makamu wa Rais wa Tanzania: Kuanzia Karume hadi Ndejembi

    KWA HIYO N yeye Samia hakuwa Popular wakati wa Magufuli
  3. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani Agosti 27, 2026

    inategemena bibi kizee ata amkaje siku hiyo... maana yeye simu moja tu ina tosha kubadili maamuzi
  4. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Historia ya Makamu wa Rais wa Tanzania: Kuanzia Karume hadi Ndejembi

    Historia ya nafasi ya Makamu wa Rais nchini Tanzania imebadilika sana tangu Muungano wa mwaka 1964. Tanzania ilianza ikiwa na Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili, mfumo ambao ulihusisha kwa karibu nafasi ya Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano. Mwaka 1995 mfumo huo ukabadilika...
  5. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Kuna watu waliaminishwa kuwa Nchumbi ni Mafai, jasusi, hawezi fanywa chchote.. basi wajipige kifuani
  6. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    DINI GANI HUYU
  7. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    hivi yoga upo wapi? nini kimekupata?
  8. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Hawa hawawezi kushika madaraka ya Makamu wa Rais wa JMT kwa sbb zifuatazo

    Kwa sababu Zanzibar almost hamna Wakristu.. ninaye mfahamu mkristo maarufu kutoka zanzibar ni Jaji Augustino Ramadhani tu
  9. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    watanganyika wnataka aliyeua watu oct.29 ajitokeze kuomba radhi, wanataka walio ua wawajibishwe, bunge lifutwe, uchaguzi huru ufanyike. Lissu aachiwe bila mashariti
  10. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Khadija Abdi: Wanatukoroga mara wanasema katiba, hicho tunachoambiwa kule wabara wanabaguliwa siyo kweli

    mambo yana enda speed.. leo wazenji hawaitaki katiba mpya, wanaona iliyopo ina wa favor.. Kosa kubwa alilofanya huyu anaye andaliwa kuwa mtakatifu Nyerere ni kuiachia Zanzibar, ilitakiwa mara baada ya kuungana ni ku unganisah kila kitu, yaani zanzibar iwe mkoa wa Tanzania. kufikia leo...
  11. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Zaidi ya Tsh. Bilioni 19 zimetumika kukarabati Uwanja wa Uhuru

    Usahaulifu wa watanzania ni mtaji mkubwa wa wana siasa. hapo unaweza kuta uwanja uka jaza maji, na huyu huyu msigwa kaja kutoa ufafanuzi kuwa zina htajika bilion zingine 19 kukarabati. wana jua wana ongea na ma mbumbumbu ambao ni wasahaulifu
  12. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    mkuu ana nini cha ajabu hadi cost iwe 200K.. kwamba huko bagamoyo papuchi ni gharama kubwa kiasi hicho
Back
Top Bottom