Recent content by KAWETELE

  1. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    watanganyika wnataka aliyeua watu oct.29 ajitokeze kuomba radhi, wanataka walio ua wawajibishwe, bunge lifutwe, uchaguzi huru ufanyike. Lissu aachiwe bila mashariti
  2. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Khadija Abdi: Wanatukoroga mara wanasema katiba, hicho tunachoambiwa kule wabara wanabaguliwa siyo kweli

    mambo yana enda speed.. leo wazenji hawaitaki katiba mpya, wanaona iliyopo ina wa favor.. Kosa kubwa alilofanya huyu anaye andaliwa kuwa mtakatifu Nyerere ni kuiachia Zanzibar, ilitakiwa mara baada ya kuungana ni ku unganisah kila kitu, yaani zanzibar iwe mkoa wa Tanzania. kufikia leo...
  3. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Zaidi ya Tsh. Bilioni 19 zimetumika kukarabati Uwanja wa Uhuru

    Usahaulifu wa watanzania ni mtaji mkubwa wa wana siasa. hapo unaweza kuta uwanja uka jaza maji, na huyu huyu msigwa kaja kutoa ufafanuzi kuwa zina htajika bilion zingine 19 kukarabati. wana jua wana ongea na ma mbumbumbu ambao ni wasahaulifu
  4. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    mkuu ana nini cha ajabu hadi cost iwe 200K.. kwamba huko bagamoyo papuchi ni gharama kubwa kiasi hicho
  5. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Kwa kigezo hiki, Mbappe atashinda Ballon d'Or mwaka 2026?

    apewe tu HARRY KANE.. waingereza nao watambe.. ila utashangaa amepewa tena RODRI
  6. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania New life band Arusha

    UPO https://youtu.be/ue0NDWow7p8?si=2j1bmZ5YdewvXSi0
  7. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Ninacho kiona kama kinaweza kuleta ukakasi mambo ya kidini kwa taifa.

    hauna hoja mkuu... Ni kwamba kulikuwa na jibilei ya miaka 25 ya Askofu Ndizeye, maaskofu wenzake wengi kutoka sehemu mbali mbali walikuja kahama. ni lazima usalama uimarishwe, kumbuka mambo yaliyo tokea Olasiti Arusha, Bomu lili rushwa. sioni kosa lolote hapo kuweka ulinzi mkali hoja zilipo...
  8. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mwandambo: Heche wewe ni mchafu, husafishiki kwa Press conference

    kwa kweli Jf ina weza shushwa thamani na wajinga wachache kama huyu
  9. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Mwandambo: Heche wewe ni mchafu, husafishiki kwa Press conference

    KAMA HUJA LIPWA CHOCHOTE KUMTETEA HUYO MAMA, BASI WEWE Mawele jihesabu miongoni mwa watu wapumbavu sana.. kama ume lipwa basi sawa najua upo kazini huyo mama ndiyo mjinga, hela za maendeleo anatumia kulipa machawa kama wewe..
  10. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    TANZANIA MPYA ITAKUJA... WALIOMPA MAJINI HUYU MAMA WAJUE TU YUPO MUNGU MKUU... ATA ANGUKA ANGUKO KUU
  11. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo zinapaswa kujibiwa na yeye

    huyu mama Yenu, ana teseka sana.. kwamba kakutumia na wewe umchafue HECHE
  12. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

    UMELIPWA SH. NGAPI KUJA KUANDIKA HUU UPUUZI,.? kama huja lipwa basi elewa kuwa wewe ni mjinga sana.
  13. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Katibu CHADEMA Morogoro: Mamlaka za Chama ziingilie kati tuhuma zinazomhusisha Makamu Mwenyekiti kuhusu michango

    CHADEMA ni imani siyo chama kama huyu mama anavyo aminishwa. amuulize mtangulizi wake, ajiulize yupo wapi Mwamba
Back
Top Bottom