Historia ya nafasi ya Makamu wa Rais nchini Tanzania imebadilika sana tangu Muungano wa mwaka 1964. Tanzania ilianza ikiwa na Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili, mfumo ambao ulihusisha kwa karibu nafasi ya Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano. Mwaka 1995 mfumo huo ukabadilika...
mambo yana enda speed.. leo wazenji hawaitaki katiba mpya, wanaona iliyopo ina wa favor.. Kosa kubwa alilofanya huyu anaye andaliwa kuwa mtakatifu Nyerere ni kuiachia Zanzibar, ilitakiwa mara baada ya kuungana ni ku unganisah kila kitu, yaani zanzibar iwe mkoa wa Tanzania. kufikia leo...
Usahaulifu wa watanzania ni mtaji mkubwa wa wana siasa.
hapo unaweza kuta uwanja uka jaza maji, na huyu huyu msigwa kaja kutoa ufafanuzi kuwa zina htajika bilion zingine 19 kukarabati. wana jua wana ongea na ma mbumbumbu ambao ni wasahaulifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.