Huo ni mpango maalumu wa kuandaa mazingira ya Rufaa kama itafikia kusikilizwa. Ni kuhakikisha hakuna kundi Zito hata mmoja anaeweza kusimamia ukweli ndani ya CHADEMA. Mpango huu utakuwa wa maana kama utafanikiwa, lakini pia utaacha makovu mengi ndani ya chama.
Kwa mpango huu, 2015 itakuwa na...
Kazini kwetu kuna mdada na mpongeza sana. Kagundua kua, migahawa ya kazini hapa inatengeneza chakula cha aina moja tu na ambacho baadhi ya watumiaji hawakipendi. Basi kila siku asubuhi anaingia katika gari la wafanyakazi na aina tofauti ya vitafunywa, basi anazichanga kuliko watu wengi wanavyo...
.
Vijana jaribuni kuwa makini katika kujibu hoja au mashambulizi yote yanayo elekezwa kwa yule unaedhania kuwa yuko bora kuliko hao wengine unaodhania hawako vizuri. Siku zote, kilicho bora ni kile chenye sifa za pekee nzuri kuliko kingine na si chenye sifa zinazo fanana na kingine. Kama...
Wakwanza kulaniwa ni yule aliepanga safari kwenda kuwaambia walio mchagua Zito kwamba maamuzi yaliyo fanywa na cc ni sahihi. Cha ajabu leo huyohuyo anamtisha Zito kwa kwenda kujibu maswali ya wananchi wanao hukum kwa kusikiliza pande zote. Na maombi yako yakubaliwe, Amen
Mbona ndio maisha yake ya kila siku. Unajua hata hizo document wanazo zunguka nazo Tanzania nzima kumchafua Zito wametengeneza Mnyika na Lema.(sauti huru, Dec 11-13 , 2013)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.