Recent content by Kavu

  1. K

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    "kisha muuaji akatoroka kwa utaalam wa hali ya juu kabisa"...hasemi utaalam gani na kivipi alitoroka,kazi kweli kweli!!
  2. K

    Mdahalo wa Mwl.Nyerere foundation kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Ubungo Plaza

    mdahalo kama uendelee mpaka saa 6 usiku,hauchoshi...unadhihirisha utupu wa Lukuvi,Mwigulu na vibaraka wao!
  3. K

    CHADEMA Mbeya kufanya Uchaguzi leo, wagombea ni zaidi ya 100

    Mbeya ipi mkuu? mi nipo Block T hapa!
  4. K

    Tumefika Saba Tunakuja!

    Mi nataka vijakazi nane,aongezeke mwingine!
  5. K

    Hii ina Maana Gani: Zaidi ya 80% ya Wajumbe wa Bunge la Katiba ni Wanasiasa!

    Kwa iyo tuendelee na utaratibu wa Nyerere?...au we unaonaje bibie?
  6. K

    Mkutano mkubwa wa CHADEMA kutikisa jiji la Mbeya

    Eish,hebu tulia kidogo!
  7. K

    Mkutano mkubwa wa CHADEMA kutikisa jiji la Mbeya

    Fika hiyo tarehe 25 ndo utajua....usiwe kama waziri mzigo
  8. K

    Hali bado tete CHADEMA

    Punguza roho mbaya bibie
  9. K

    Hali bado tete CHADEMA

    Kuna tofauti kubwa kati ya usaliti na kutofautiana hoja!
  10. K

    Mwanza: Benki yavamiwa

    Tumejipanga na maandamano,matukio ya kupora benki yapo nje ya uwezo wetu!
Back
Top Bottom