Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 903
- 629
Ni Jana tu Mkuu wa kitengo hiki alikana taarifa zilizoenea kwenye Social Media. Leo hii Ndege mpaka tunavyoongea zimezuiliwa na kuwa diverted kwenda Zanzibar na KIA kutokana na hali ya hewa Dar kuwa mbaya. Kwa macho yangu 'mimi nisie mtaalamu' naona upepo mwingi sana na mawingu mazito ya kutisha sijui niamini kipi.
===================
JamiiForums imefuatilia na kubaini kuwa;
Ndege zilikwama kwa masaa mawili toka saa tano (5) asubuhi hadi saa sita (6) Mchana - tokana na hali ya hewa kuwa mbaya. Kwa sasa hali imerudi kawaida na safari za ndege zimerudi kama kawaida.
===================
JamiiForums imefuatilia na kubaini kuwa;
Ndege zilikwama kwa masaa mawili toka saa tano (5) asubuhi hadi saa sita (6) Mchana - tokana na hali ya hewa kuwa mbaya. Kwa sasa hali imerudi kawaida na safari za ndege zimerudi kama kawaida.