Kwa mfano,
Nimekuamba simu yako, then nikatumia creditials zako kuingia kwenye App ya M PESA iliyopo kwenye simu yangu, OTP zikituma nazicheki na naingiza kwenye App ya simu yangu.. namalizia installation, then nakurudishia simu, from there hautaweza kugundua kama kuna mimi ambaye natumia...
Mkuu,
Anachomaanisha mtoa mada ni kwamba, hata mimi nikiwa na password zako naweza ku login in kwa kutumia App kwenye simu nyingine na wewe usipate taarifa
Inawezekana kabisa Mkuu ku login kwenye App ya M PESA kama hauna line,
Mfano mimi nime link line yangu ya Lipa Namba kwenye App, na line hata sijui ilipo, ila miamala nafanya kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.