Wana Jukwaa Habari!
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuanzisha na wengine kujiunga kwenye VICOBA. Na ki-uhalisia imekuwa msaada mkubwa sana kwa watu ambao wamekosa sifa za kukopesheka kutoka kwenye mifumo rasmi ya kukopa, mfano bank.
Nakumbuka miaka mitatu (3)...
Wanajukwaa habari!
Leo nimetakiwa kusafiri kuelekea Mikoa ya kusini na Kampuni ya Basi Maning Nice. Ratiba ilionesha tutaanza safari saa 3:30 Asubuhi, ghafla wakabadilisha muda hadi saa 4:00 Asubuhi. Muda ukafika, wakasogeza tena hadi 4:30 Asubuhi.
Hii ni kero na inaharibu ratiba za wasafiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.