Recent content by Kaudunde Kautwange

  1. Kaudunde Kautwange

    Waziri Gwajima, Serikali yetu Inaruhusu Gender Reassignment Surgery?

    We Jamaa bhana, Ebu oneshq wapi kwenye tangazo wamesema watafanya hicho unacho hoji!???
  2. Kaudunde Kautwange

    Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

    Ni vile tu tumechelewa kuendelea, lakini mataifa makubwa yana kitu/haki/sheria ya Conjugation.. sina hakika na spelling
  3. Kaudunde Kautwange

    Football records that are yet to be broken

    Akikujibu, naomba uni tag
  4. Kaudunde Kautwange

    Nauza dagaa nyama (uwono) Dodoma

    Habari mkuu, Unao wengi kiasi gani?
  5. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Mkuu, Hoja yako ni ipi hasa? Unazungumzia namna ya kikokotoo kinavyofanya kazi (kwa maana ya formula) au unazungumzia Jinsi kikokotoo kinavyowakandamiza wastaafu? Wapi nimesema kikokotoo kipya ni kizuri?? Kuna shida kubwa sana ya ku comment kwenye comment za mbele bila kujua ilikotoke!
  6. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Nimemjibu mkuu, Angalia comment ya juu hapo kabla ya hii
  7. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Mkuu, nahisi unapata taabu kunielewa. Sipingani ma hoja zako, isipokuwa napingana na namna hiyo 33% ulivyoielezea as if ni stand alone formula. Na ndo maana nikakwambia jitahidi upate taarifa kamili za namna ya kikokotoo kinavyofanya kazi. Mengine yote ni ukweli, isipokuwa formula ya 33% sio...
  8. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Figure nazitoa wapi mkuu? Maana hiyo ni formula, figure zinatofautiana. Nahisi nimekupa mwanga, tafutq figure za kufikirika weka hapo
  9. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Hizo formula ziko 2 Kuna ya lumpsum na kuna ya kila mwezi. Hiyo niliyoweka ni ya lumpsum. Karibu
  10. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Formula [1/580]×N×APE×12.5×33% Where: 1/580 = accrual factor APE = The best three years avarage salary 12.5 =Avarage life expectancy after retirement 33% = pension lumpsum at retirement N = Number of months contributed
  11. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Formula [1/580]×N×APE×12.5×33% Where: 1/580 = accrual factor APE = The best three years avarage salary 12.5 =Avarage life expectancy after retirement 33% = pension lumpsum at retirement N = Number of months contributed
  12. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Formula [1/580]×N×APE×12.5×33% Where: 1/580 = accrual factor APE = The best three years avarage salary 12.5 =Avarage life expectancy after retirement 33% = pension lumpsum at retirement N = Number of months contributed
  13. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Formula [1/580]×N×APE×12.5×33% Where: 1/580 = accrual factor APE = The best three years avarage salary 12.5 =Avarage life expectancy after retirement 33% = pension lumpsum at retirement N = Number of months contributed
  14. Kaudunde Kautwange

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Mkuu, Jitahidi uwe unapata taarifa toka chanzo rasmi. Hesabu za kikokotoo hazifanywi hivyo kama ulivyoandika wewe!
  15. Kaudunde Kautwange

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    http://www.sportybet.com/tz/?shareCode=313058A2
Back
Top Bottom