Recent content by Kaudunde Kautwange

  1. Kaudunde Kautwange

    Nilikamata simu ya mke wangu wanachati na mdogo mtu wananisengenya

    Mkuu, Mi nimependa jinsi ulivyohitimisha, kwamba kama kukusema tukuseme tuu, ila umeshamla mdogo mtu.... umetisha sana
  2. Kaudunde Kautwange

    Biashara ya kuuza mifumo

    Mkuu, Kuanzisha familia sio kama ma.ta.ko kwamba kila mtu anayo...
  3. Kaudunde Kautwange

    Kuna App inashinda hii..?

    Kwamba unataka tukuulize "inaitwaje"!??
  4. Kaudunde Kautwange

    Kwa mjazano huu wa ndugu, sahau kabisa kuitwa tajiri

    Unawasema wenzako wakati na wewe upo kwa Mjomba wako.... Its not done until its done
  5. Kaudunde Kautwange

    Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Mkuu, Kati ya hao wake wawili, kwa taarifa ulizonazo wewe, yupi Mwenye cheti cha ndoa na yupi mwenye talaka??
  6. Kaudunde Kautwange

    Ohoo! Tayari huko ni, mbona umeme wamekata?

    Ahsante mkuu kwa hili pandiko. Kwa kweli anunue umeme
  7. Kaudunde Kautwange

    Tahadhari ya Tishio la Usalama wa Fedha Mtandaoni – Udhaifu wa Usalama Katika Apps za Kifedha kama M-Pesa Tanzania

    Kwa mfano, Nimekuamba simu yako, then nikatumia creditials zako kuingia kwenye App ya M PESA iliyopo kwenye simu yangu, OTP zikituma nazicheki na naingiza kwenye App ya simu yangu.. namalizia installation, then nakurudishia simu, from there hautaweza kugundua kama kuna mimi ambaye natumia...
  8. Kaudunde Kautwange

    Tahadhari ya Tishio la Usalama wa Fedha Mtandaoni – Udhaifu wa Usalama Katika Apps za Kifedha kama M-Pesa Tanzania

    Mkuu, Anachomaanisha mtoa mada ni kwamba, hata mimi nikiwa na password zako naweza ku login in kwa kutumia App kwenye simu nyingine na wewe usipate taarifa
  9. Kaudunde Kautwange

    Tahadhari ya Tishio la Usalama wa Fedha Mtandaoni – Udhaifu wa Usalama Katika Apps za Kifedha kama M-Pesa Tanzania

    Inawezekana kabisa Mkuu ku login kwenye App ya M PESA kama hauna line, Mfano mimi nime link line yangu ya Lipa Namba kwenye App, na line hata sijui ilipo, ila miamala nafanya kama kawaida
  10. Kaudunde Kautwange

    Hawa Hapa wanaotaka Kumyumbisha Rais Samia pamoja na kuigawa na kuleta vurugu ndani ya CCM

    Kichwa cha habari na yaliyoandikwa mbona haviendani?? Wako wapi hao watu? Nikajua utawataja kwa Majina yao!!
Back
Top Bottom