Mkuu, kwa hii strategy yangu, nikiweka oda huwa ninajua kabisa kwamba nikiingia kwa hii Entry hasara itakija itaenda hadi sehemu fulani na HAITAZIDI. Na lazima iwe hivyo. After that ni red inakuwa BLUE
Habari wapendwa.
Mimi ni kati ya watu ambao tupo jf na tunaonaga mara kwa mara watu wakiibeza biashara ya forex. Tunachokifanya tunaishia kusoma comments na kutulia tu. Mnaoamini kwamba forex ni magumashi aisee endeleeni kuamini, na mnaoamini kwamba hii ni BIASHARA endelea kuamini na kujituma...
*INVETER* *INAUZWA*
Ni inveter ya kisasa kabisa. Ni ya Watt 300.
KAZI YA INVETER ni kubadili mkondo wa umeme wa DC ( umeme wa betri ya gari au ya solar ambazo zina volt 12 ) na kuwa katika mkondo wa umeme kama tanesco. Hivyo ukiwa na hii mashine ya INVETER kisha ukawa na Betri hata kama dogo...
Ndugu zangu habari zenu.
Naomba niwaombe ushauri juu ya kilichonitokea........
Nilimaliza chuo miaka minne iliyopita. Kama unavyojua maisha yanavyokuwa magumu mtaani baada ya maisha ya chuo. Nilituma maombi sehemu mbalimbali ila kote niliambulia patupu. Hata hivyo sikukata tamaa. Nikaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.