mh magufuri alihaidi kuwa kufikia 2015 sehemu zote za makutano hasa akataja ubungo,tazara na magomeni kuwa atajenga hizo barabara za juu sasa mbona kimya saiz naona mradi wa mabasi yaendayo kasi ndo umepamba moto au nao nguvu ya soda jamani haadi nyingi utekelezaji zirooooo!!
ni vizuri tungewekewa huo waraka tungechangia vzr!! mtoa mada jitahidi kuupata ili u defend thread yako hatupingi ila ushahidi muhimu ukweli wa kosa haupatikani kwa mkosaji hivyo police ukiwauliza huwezi pata ukweli kamili coz wamefundishwa usiri na wamehapa kutotota siri kwa mtu asiyehusika.
mm niko kivule kata ya msongola tarafa ya ukonga cement 16000 uyo atuambie bei iyo inapatikana sehemu gani? kwani tunaitaji kujuwa mie naona kwa serikali hii ni kitu amabacho hakiwezekani mwaonaje bei ya petrol?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.