We acha tu. Kwa uchunguzi wangu ikatokea unakwenda kaa ukwen kwa muda kidogo iwe ni kujifungua au la kama hujafunga ndoa na huyo bwana asilimia ni chache mno za kuharalishiwa ndoa cjui kinatokeaga nn jamani. Ndio yanamkuta ss bibie huyo na lazima atatoka hapo tu c unajua upendo wa mam kwa...
Mnawahalibu watoto wa wenzenu kwa kuwazalisha then mnawatafutia sababu za kuwaacha c vyema hata kidogo, hebu fikiria kama huyo dada angekua ni mdogo wako anataka fanyiwa kitu kama hicho ungejisikiaje? Wanaume wawe na huruma some times wanawake nao ni binadamu wenye miili na roho. Mmmh ni sheedaaah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.