Haipp sawa mm nimekuulza kama huwa tunafuata maelezo yenu hiyo ni tabia ya mtu sidhani kama kuna wanaume mnapenda wanawake zenu waonyeshe mali zenu nje mm binafsi najitambua wasijitambua niwachache sana
Wanaume wapendeni wake zenu mtabarikiwa mwanamke wanje anachochea uharibu wa penzi lako kwa mkeo mpinge huyo ni shetan tu hafai hata kidogo ukisema nampenda wa nje kwani anavutia unajidanganya hata mkeo ana mvuto zaidi ya huyo ila hujuangalia vizur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.