Recent content by katonga

  1. katonga

    Baby nipo nakuja na taksi na sijalipa, ananidai 20,000

    Endelea hvyo hvyo baada ya miaka kumi utanipa mrejesho sawa kaka
  2. katonga

    Napenda wanaume maarufu

    Endelea tu hvyo hvyo utapa majibu yako
  3. katonga

    Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye

    Utakuwa mpiga ramli siyo bure
  4. katonga

    Jina gani zuri ukifupisha

    Mwasa=mwasamwiga
  5. katonga

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Hata mimi walinitumia jana saa kumi na nusu jioni, nikawatoa nyota zote. Km gundu, na android yangu ikavuliwa kupitia dirishani usiku.
  6. katonga

    Tupa kule, hata iweje sinunui mbuzi kwenye gunia

    Ok!pole yageuze hayo maswali kwa nafas yako
  7. katonga

    Tupa kule, hata iweje sinunui mbuzi kwenye gunia

    Sina sababu ya kuendelea nawe amin hvyo ila kama hujaoa na nimuumin hyo usemayo jua tu mchumba wako watu wapiga yakhe!na kama umeoa hapa ninongoneze mkeo ulimkuta b.i.k.ra?
  8. katonga

    Tupa kule, hata iweje sinunui mbuzi kwenye gunia

    Umebadilisha maada mungu kaingiaje hapa jibu hoja ili twende sawa
  9. katonga

    Tupa kule, hata iweje sinunui mbuzi kwenye gunia

    Dnt make comparison ya kale na leo by whatever means
  10. katonga

    Tupa kule, hata iweje sinunui mbuzi kwenye gunia

    Kaka wazo lako zuri ila angalia usije ingia chaka kwa ulimwengu wa sasa tia mimba tangaza ndoa otherwise unaweza angukia kwa tasa dada zetu wanatoa mimba sana mm nakupa pole kama si muumin wa hili
  11. katonga

    UTAFITI: Wanaume wengi wenye vitambi ni wavivu, wazembe na watu wa hasira...

    Mkuu haina haja ya kumchallenge mtoa maada kias hichi.tukubali tu vitambi noma na hatuna budi kuvimaliza
  12. katonga

    Nimempenda kaka wa x boy wangu

    Fundo moja tu.........!jiandae na mdogo mtu kwa mara nyingine
  13. katonga

    Wanawake bwana!

    Namashaka na ww loh....!
Back
Top Bottom