Recent content by katlego10

  1. K

    JB na Skendo mpya ya kuiba mawazo ya Movie ya ''Ladies Vs Ricky Bahl"

    Sawa kabisa hiyo movie na ile movie yake ya Regina haina tofauti kabisa.
  2. K

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Thanks nitazingatia hilo then nitakupa mrejesho
  3. K

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Nashukuru sana kwa ushauri wako mungu akubariki
  4. K

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Naombeni msaada nina mtoto wangu ana miaka sita, hivi karibuni ameanza kutokwa na danu puani hasa nyakati za usiku akiwa amelala.Nilimpeleka hospitali Dokta akamwandikia dawa anywe kwa muda wa siku tano ,dozi amemaliza lakini tatizo linaendelea.Kabla damu hazijatoka mwili huwa wa moto hasa...
  5. K

    Mwenye ukweli kuhusu ust Jafari Siraji wa MUM anijuze tafadhali

    kama maelezo yaliyotolewa hapa hayakutoshi nenda kachambe ukalale usituchoshe na upuuzi wako,we huna umuhmu wowote wa kujua historia ya huyo mtu na usitafute umaarufu wa kipumbavu.Kama ulivyosema hakuhusu ndo mana humjui.
  6. K

    Mwalimu akutwa mtupu Shuleni Lindi

    Udini umekujaa mawazoni mwako fanya yako mengine hayakuhusu , fikra mgando ndo ulizokuwa nazi wenzako wako busy kuwaza mambo ya maana we uko na udini punguani mkubwa we!
  7. K

    Mwenye ukweli kuhusu ust Jafari Siraji wa MUM anijuze tafadhali

    Ni kweli kabisa Ustaz Siraji amefariki na mazishi yamefanyika Dar.Alichokuwa anaumwa sifahamu ila aliugua muda kidogo na alishapata matibabu India lakini safari yake ilikuwa iishe leo na ameshatangulia mbele ya haki .
  8. K

    Soma hiki kituko Fereji Kibwana

    Fereji Kibwana ni hatari
  9. K

    Kituko cha mwaka 90

    Usijali sana kwamba hujawahi kukutana na kitu ambacho unaweza kuchangia kama ushamba , yani hivi ulivyochangia kwenye huu uzi tayari nishajua uko mshamba kiasi gani.
  10. K

    Family matters comedy series episode zote

    Umenikumbusha mbali my wife and kids nilikuwa napenda sana hiyo comedy+ Cosby kids say the darndest things.
  11. K

    Azam Airlines Yaja

    Hivi kila kitu ni lazima kuingiza udini? unatuchosha na kutukera kwa maoni yako yasiyo na tija wivu tu ndo uliokujaa na umaskini wa mawazo.
  12. K

    Ukweli kuhusu Habari ya Mwanafunzi aliyemzalisha mwalimu

    Mh mbona madam Fatma simuoni kwenye hiyo list au amehama?
Back
Top Bottom