Mwalimu akutwa mtupu Shuleni Lindi

Mwalimu akutwa mtupu Shuleni Lindi

Mtoa mada sijui alikuwa na maana gani kuambatanisha hii picha ya mwanamke.

Kwani iliwekwa hapa na kuelezwa kuwa ni tukio lililotokea Mbeya, ni mwanafunzi wa Chuo fulani huko.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!


Taswira za picha zina mahusiano yanayoakisi uchawi. Waathiriwa na utendaji wa publishing hata kama aliacha kazi miaka kadhaa iliyopita taaluma hiyo haiwezi kumtoka kwani hupenda kuleta habari na vielelezo vyenye kusaidia kuakili hali halisi.

Mleta mada alichofanya ni kuambatanisha picha hizo na source yake ili mweza kuwa na kumbukumbu ya matukio mengine kama hayo, kwani si wote wanaoweza kupitia JF au vyombo vingine kusoma au kuona matukio kama hayo. Nadhani nimeeleweka, la sivyo nipe udhuru wako wa kutoelewa mahusiano ya picha hizo na tukio la mwalimu kukutwa anakoroma usingizi mzito kibaoni mwa Shule.

Kama mnakumbuka kuna mwalimu wa sekondali alipatwa na yayo hayo huko huko mikoa ya kusini alipokuwa anakoroma usingizi kwenye kibao cha shule wakati kumekucha. Ametokaje nyumbani mwake hata yey hajui. Hii ndiyo hali halisi.
 
Nimewahi kuishi Mkoa wa Rukwa na kutembelea maeneo mbalimbali hadi huko Kirando, Kipili nk, nikapata kuelewa maana ya sumbuwanga (tupa uchawi) kwani sikushuhudia mambo ya uchawi huko kama nilivyoambiwa kabla sijaenda huko. Wafipa wakaribu, wastaarbu, wanaheshimiana na hulka ya maisha ya ujama wa kiafrika, kitu ambacho sijakishuhudia katika pande nyingine za Tanzania, kwani tanzania nimebakisha Kigoma tu, vinginevyo mikoa mengine huwezi nitolea uvivu. Wanaogopwa tu. Lakini huko Umachingani balaa, mwenyewe nimeshuhudia classmate wangu alivyoathirika. Sijajua tatizo ni nini huko.
Acha uongo... hicho kijiji mie nakifahamu A to Z na ni kijiji chenye mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbalimbali... kuanzia watu wa kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi kwahiyo tukio kama hilo linaweza kufanywa na yeyote yule ama mwenye asili ya hicho kijiji au wahamiaji!! Huwezi ku-conclude eti kwavile tu kuna rafiki yako ambae "ameathirika" wakati hayo matukio ya mtu mmoja mmoja yapo kila sehemu nchi hii... mathalani, hiyo picha uliyoweka... ingawaje ilikuwa ni ya tukio la Mbeya lakini kwa makusudi umeiweka hapa ili kuyapa nguvu madai yako!!

By the way, hivi mtu badala ya kujiuliza sijui kuna nini mikoa ya watu wanakuchunana ngozi, wanakoua albino unajiuliza cjui kuna nini sehemu ambayo kuna mtu kakutwa uchi wakati ni mambo ya kawaida kabisa Afrika hii!!!
 
Taswira za picha zina mahusiano yanayoakisi uchawi. Waathiriwa na utendaji wa publishing hata kama aliacha kazi miaka kadhaa iliyopita taaluma hiyo haiwezi kumtoka kwani hupenda kuleta habari na vielelezo vyenye kusaidia kuakili hali halisi.

Mleta mada alichofanya ni kuambatanisha picha hizo na source yake ili mweza kuwa na kumbukumbu ya matukio mengine kama hayo, kwani si wote wanaoweza kupitia JF au vyombo vingine kusoma au kuona matukio kama hayo. Nadhani nimeeleweka, la sivyo nipe udhuru wako wa kutoelewa mahusiano ya picha hizo na tukio la mwalimu kukutwa anakoroma usingizi mzito kibaoni mwa Shule.

Kama mnakumbuka kuna mwalimu wa sekondali alipatwa na yayo hayo huko huko mikoa ya kusini alipokuwa anakoroma usingizi kwenye kibao cha shule wakati kumekucha. Ametokaje nyumbani mwake hata yey hajui. Hii ndiyo hali halisi.
Kiuweledi ulitakiwa kusema wazi kwamba hiyo ni picha ya maktaba kuhusu tukio ambalo lilitokea mahali fulani lakini kuacha kwa makusudi ilikuwa ni ku-deceive wasomaji ili uhalalishe kwamba "cjui huko umachingani kuna nini..." kumbe at the end revealed kwamba cjui hapa Tanzania kuna nini!!!
 
Hiyo ndio mikoa yenye waumini wengi wa ile dini ya maandamano, vurugu na uhalifu

Udini umekujaa mawazoni mwako fanya yako mengine hayakuhusu , fikra mgando ndo ulizokuwa nazi wenzako wako busy kuwaza mambo ya maana we uko na udini punguani mkubwa we!
 
Alikua anawanga noma sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Alikua anawanga noma sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Wala si uongo... inawezekana kabisa sema kwavile ni mwalimu ndo maana wanasema amewangiwa lakini angekuwa mwanakijiji, wangesema amedondoka kwenye uongo!!!
 
Bora ata uchawi wa kwetu wa kukanyana tu unapewa tishio unakimbia mwenyewe cjui ingekua nchini mara unasumbua wanafunz au wazaz au ule uchaw wa kuua vikongwe,maalbino na kuchunana ngozi
 
Back
Top Bottom