Recent content by KATIBUA

  1. K

    Yaliyojiri Yanga Vs FC Platinum

    Diamond Platinum funga kandambili hao warudi kuchezea vipigo ligi ya Bongo
  2. K

    Kali ya 28 Feb

    kama kangaroo vile
  3. K

    Hapa ni mawazo gongana

    Vinafaa kwenye soka la ufukweni
  4. K

    Hapa ni mawazo gongana

    Vinafaa kwenye soka la ufukweni
  5. K

    Aliyepandika matangazo ya NIKON Magomeni, ashugulikiwe

    kuna makosa kibao sio hilo tu! Msameheni amepiga viroba.
  6. K

    Tahadhari, Picha mbaya!: Kwa nini askari wetu wanadhalilisha miili ya binadamu?

    Unyanyasaji huu wa wahalifu tuanze kuupinga kwetu raia ndio tuje kwa polisi. Wahalifu wanapigwa, wanachomwa moto na raia
  7. K

    VPL: Simba SC Vs Azam FC

    Mashabiki wengi wa simba naona wamejawa nyuso za furaha. Mashabiki wa Simba Ukawa nao wapo upande wao ule ule wa juani.
  8. K

    Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

    Baada ya hapo malizia hivi: Binti mrembo aliyepoteza pochi na mimi kumrudishia anataka ndoa jf nishaulini!
  9. K

    Upi mtungi wa gesi mzuri kati ya hii?

    Watu humu Jf kwa kujipandisha mimi natumia huu mwingine ule utadhani gesi ziko tofauti! Sisi wa "bei ya mkaa" tupo kimya
  10. K

    Dar es Salaam: Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja

    Huyu msagaji Maua anazidi kututukanisha wanaume wa Dar kwamba atuwaridhishi, Wakulima wakiona hivi ndio wanapata neno!
  11. K

    Dar es Salaam: Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja

    Hii michezo imeingia sana uswahilini usikubali urafiki wakupitiliza wa mkeo na shoga ake mpaka chumbani kutoka out kataa
Back
Top Bottom