frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Habari? simba hoyeeeee, azam hoyeeeee.
Ukipita toka magomeni mapipa to jangwani, kuna ukuta mzuri sana uliojengwa na Starbag unapendezesha sana sehem hiyo, katikati barabara, lakini coy ya kuuza camera za NIKON imejaza kuta zote mbili matangazo yake mpaka kutoa maana ya kuta zile.
Naomba mamlaka ya kiwilaya/Jiji mmshungulikie huyu mhusika na abandue haya matangazo yake, tupende usafi na tutangaze sehemu sahihi.
Asanteni!
Chanzo: Nimepita hapo sasa.
Ukipita toka magomeni mapipa to jangwani, kuna ukuta mzuri sana uliojengwa na Starbag unapendezesha sana sehem hiyo, katikati barabara, lakini coy ya kuuza camera za NIKON imejaza kuta zote mbili matangazo yake mpaka kutoa maana ya kuta zile.
Naomba mamlaka ya kiwilaya/Jiji mmshungulikie huyu mhusika na abandue haya matangazo yake, tupende usafi na tutangaze sehemu sahihi.
Asanteni!
Chanzo: Nimepita hapo sasa.