Recent content by katemana

  1. katemana

    MASAKI, DAR: Wayne Lotter, Mwanaharakati aliyekuwa akipambana na ujangili auawa kwa kupigwa risasi

    Duh Snipers wanamimina risasi siku hizi, habari bado ina walakini
  2. katemana

    Picha: Prof. Lipumba aanza kazi ofisini, aimarisha ulinzi

    Huyu Mzee uprofffessor haujamsaidia kitu ni bure kabisa
  3. katemana

    Neno la Nyongeza: Tatizo la ATCL Halikuwa Ndege!

    Well said hapo juu. Ila i think wamebadili tayari kichwa cha ATCL sasa ni kazi yake kuhakikisha mambo hayajirudii. Kama ni kupunguza wafanyakazi ili kwendanda na mahitaji ya kampuni ifanyike hivyo. Nazani MD mpya mteule ndio ataweza fanya hii kazi yote tumpe muda halafu, akikosea tunamkaanga...
  4. katemana

    Biashara ya uume wa ng'ombe

    Naomba msaada wa kujua nani anafanya biashara ya uume wa ng'ombe
  5. katemana

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hili ni tatizo kubwa sana na wamelishindwa kabisa. Tumia mtandao mwingine tu maana hapa wameshindwa kabisa boresha hii adha ya mpesa. Ukikosea na inakuwa wkend na huna hela imekula kwako Kama unatumia voda
  6. katemana

    Mufti Simba wa BAKWATA na Shekh wake Alhadi wanacho cha kujifunza

    Acheni kutumia social media vibaya kwa manufaa ya uchochezi, Hizi ni mbili tofaui kabisa haziendani kabisa. Nasema TZ hi hatutaweza hata siku moja pigana kwa ajili ya udini. Sisi tunapendana hatuko wanyama kama nchi nyingine. Maneno kama haya yanapita tundu moja la sikio na yanatokea linguine...
  7. katemana

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Huu wizi si mzuri kabisa, jana simu yangu ilibaki 9MB hazishuki na siwezi kujiunga na kifurushi kwasababu bado nina 9mb, na hapo hapo walikuba 9000 yang wa muda a dakika moja na ndio ushituka nikachomoa line. na kuweka nyingine ili niweze pata mawasiliano, mpaka sasa sijapata majibu.na sio mara...
  8. katemana

    Azam Airlines Yaja

    please send the valid source
  9. katemana

    Ombi kwa ITV, tunaomba mdahalo urudiwe

    naunga mono hoja please warudie ili tutoe na copy za cd tutatumie wenzetu walioenda kwenye mkutano wa katiba maana sizani hizi data kama wanazo. wangekuwa nazo wote wangerudi manyumbani kwao. au wangeunga hoja ya ukawa
  10. katemana

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    nimeamini kuna mambumbu Tanzania hii, taifa hata halihitaji mtu kama wewe:yell:
Back
Top Bottom