sema asilimia kubwa wengi ni matapeli ila wachache sio, mm kuna mdada ndy ananiungiaga gb 25 vifurushi vya CUG (halotel) na sijawah onana nae kuna jamaa yang alini link nae tu almost miez 9 sahz nafanya nae hii kazi
[emoji23][emoji23][emoji23] hawezi fanya hvyo anasapot ujinga tu nae jamaa kwa kujiona saint kulko wengne,,,sema nae anaongea coz icho kitu ajakutana nacho in real life mzee
sure masta watu mbn wanashauli usenge sana humu huwez kumsamehee mwanamke wa aina hyo maan kamzarau sana mleta mada kwa kauli zile ucpge simu naenda kwa bwan ang damn modafck[emoji2307]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2307]
serious mzee jamaa ameferi sana mpka kapigiwa simu na hawara ni zarau kubwa na demu kama ndy ananguvu kulko jamaa anaamua tu kam hakuogopi hv mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.