jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,752
- 16,368
notified,,hahahhaha hizi simu zinaumbua kwa kweli,,,you noticed ama notifiedtoo much childish no content no lesson ok tumeona ulikuwa HB na hom kuna mashine 3 na shop its only thing I notified
notified,,hahahhaha hizi simu zinaumbua kwa kweli,,,you noticed ama notifiedtoo much childish no content no lesson ok tumeona ulikuwa HB na hom kuna mashine 3 na shop its only thing I notified
Sio wote mkuu, wengine mnatuonea, muulizd alisoma chuo gani?Ndio maana wanachuo wanadharaulika sana.
Yah mkuu naamini sio wote pia ila si unajua samaki mmoja akioza mkuu. Leo hii huyu akijinasibu ni mtu kutoka chuo fulani, wanafunzi wote wa chuo hiko wataonekana hamnazo kama yeye.Sio wote mkuu, wengine mnatuonea, muulizd alisoma chuo gani?
Utatukanwa sana kijana. Kosa lako umejisifia kuwa kwenu mna duka, mashine tatu, wewe ni HB mzee wa pamba n.k
Ukitaka usitukanwe jf lete uzi wa masikitiko mfano sina kazi, sijala siku tatu, natafuta kazi hata ya saidia fundi, naumwa figo, nimefiwa na baba n.k hapo utakuwa rafiki yetu hatutakutukana.
Anaonekana ndio nature yake, anapenda bata, ku-shine n.k, sio mbaya kwa upande wake.Yah mkuu naamini sio wote pia ila si unajua samaki mmoja akioza mkuu. Leo hii huyu akijinasibu ni mtu kutoka chuo fulani, wanafunzi wote wa chuo hiko wataonekana hamnazo kama yeye.
Mtoa mada inabidi apigwe shoti ya umeme kwenye ubongo ili kureset settings zake to default...Wewe Na huyo dem wote Hamna akili na inaonekana hata huyo mwanamke amekuzidi akili japo wew unadai umemaliza chuo! Unastahili uchapwe fimbo nyingi sana msomi hawezi shusha thread yakipumbavu km hii
Kwamba kiufupi, hatupendi kuona au kusikia mwana ana mafanikio siyo!Utatukanwa sana kijana. Kosa lako umejisifia kuwa kwenu mna duka, mashine tatu, wewe ni HB mzee wa pamba n.k
Ukitaka usitukanwe jf lete uzi wa masikitiko mfano sina kazi, sijala siku tatu, natafuta kazi hata ya saidia fundi, naumwa figo, nimefiwa na baba n.k hapo utakuwa rafiki yetu hatutakutukana.
hb macheniSawa mzee wa macheni cheni