ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Just imagine una mwanamke mchumba wako mna mahusiano karibia Mwezi wa Tano mnaishi mikoa tofauti ila ni mikoa jirani, mimi nimewahi kumuuliza historia yake na hata picha za wazazi wake nilimuomba akanitumia ila yeye binti hawajui wazazi wangu na hajawahi hata siku moja kuulizia tu.
Kama wazazi wangu wapo hai kama ni wazima wanaendeleaje yaani in short hata kinafki tu aulizie walipo hakuna sasa najiuliza kweli anafaa kuwa mke kwa Hali hio.
Ina maana ana uwezo mdogo wa kiutambuzi au tatizo hapo ni nini na kila siku mnachat mnaongea sana ila hakuulizi chochote kuhusu familia yako hata kukuuliza tu Kama una wadogo zako hakuna Sasa na mi nikasema labda kajisahau tu nikae kimya nimpe muda nimpime.
Maana siwez me kuanzisha maada kuhusu ndugu zangu wakati ni wajibu wake awaulizie, naona miezi inakatika tu halafu eti ndo mwanamke anatarajia tutaoana na ni mtu kasoma mpaka ngazi ya cheti.
Swali langu ni je, hii ni hali ya kawaida kweli mbona kama nahisi atakuwa na roho mbaya?.
Kama wazazi wangu wapo hai kama ni wazima wanaendeleaje yaani in short hata kinafki tu aulizie walipo hakuna sasa najiuliza kweli anafaa kuwa mke kwa Hali hio.
Ina maana ana uwezo mdogo wa kiutambuzi au tatizo hapo ni nini na kila siku mnachat mnaongea sana ila hakuulizi chochote kuhusu familia yako hata kukuuliza tu Kama una wadogo zako hakuna Sasa na mi nikasema labda kajisahau tu nikae kimya nimpe muda nimpime.
Maana siwez me kuanzisha maada kuhusu ndugu zangu wakati ni wajibu wake awaulizie, naona miezi inakatika tu halafu eti ndo mwanamke anatarajia tutaoana na ni mtu kasoma mpaka ngazi ya cheti.
Swali langu ni je, hii ni hali ya kawaida kweli mbona kama nahisi atakuwa na roho mbaya?.