Mfumo wa utawala wa Tz ni ule wa divide and rule ndo maana kila mkoa unamakambi ya jeshi ili kuhakikisho serikali inafanya vile wanavyoona wao na sio wananchi. Iwapo wananchi watadai haki zao ambazo serikali haitaki kutoa ndipo jeshi litafanya kazi kama viongozi wa serikali wanavyotaka. Mfano ni...
Jimbo hili la Peramiho kwa sehemu kubwa ni chama kimoja yaani ccm, tunaomba vyama vingine vya siasa hususani CHADEMA ongezeni nguvu kama mpo na kama hampo basi njooni.
Hapa tushaibiwa, unapoona kiongozi/viongozi hawataki kutoa fursa ya ufafanuzi makini kwa wananchi juu ya rasilimali yao namna watakavyoshiriki na kunufaika nazo.
Naomba msaada wa kisheria kuhusu haki ya kumfuata mwenza kwa wanandoa ambao wote ni watumishi wa umma na wananyaraka zinazohitajika kama vile cheti cha ndoa. Mosi, nani anahaki ya kumfuata mwenzake. Pili, anapokataliwa ni hatua zipi anapaswa kuzifuata.
Gairo itapata maji ya uhakika iwo wakazi watamchagua muwakilishi(MBUNGE) atakaewatumikia na kuwawakilisha bungeni kwa kuzingatia mahitaji ya watu wake na sio anaejali biashara zake
Raisi wa Kenya ni mfanyabiashara hivyo anaelewa namna ya kuvutia wateja ndio maana aliagiza bandari ya mombasa kuhakikisha mizigo iwe imetolewa ndani ya siku 5 tu au chini ya hapo na si zaidi na wahusika wa bandari ya mombasa wameitikia agizo kwa kutekeleza nini mkuu wa nchi yao amesema. Je...
Katika rasimu ya katiba mpya, inaonekana swala la muungano linauzito mkubwa hasa kulingana na maoni ambayo wadau walitoa kuhusu aina na namna ya muungano. Nikionacho mm kulingana na mahojiano yanayofanywa na vyombo vya habari kama vile bbc, wazanzibari wanataka nchi yao iwe na mamlaka kamili...
Pamoja na itikadi zetu za kidini na vyama tunapaswa kulinda amani na utulivu kwani hivi havina dini, cham, kabila, ukanda wala rangi kwani vikitoweka wote tutateseka. Uchochezi wa aina yoyote ile tusiukubali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.